sitanyamaza hata nikilazimishwa kunyamaza kwa mtutu wa bunduki. hakuna mwenye mamlaka ya kuzuia fikra za watu zisifanye kazi. mbona mkulu yy viwazo uchwara vyake havipingwi isipokuwa sisi tusio na ulinzi wa SMG
wewe kama nani? Una ndugu elimu? Acha kupumbaza watu. Wenye fani ndo tunaojua. Hakuna kitu cha namna hiyo. Naidai serikali na sijaona lolote kweny mshahara wa mwezi huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.