Recent content by Ugoromkali

  1. Ugoromkali

    Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha Sitasahau cha Radio Free Africa

    Kati ya watu mapoyoyo huyu rojaz ni namba 1 mtu unakuwaje mjinga mjinga kiasi hicho? Kha!
  2. Ugoromkali

    Haya ndiyo mambo ya ajabu niliyowahi kuona na kushuhudia kwa macho yangu, sitoyasahau katika maisha yangu

    Sasa hapo mchawi ni nani kati yake anaekataa upo na wewe unaoupigia chapuo kuwa uchawi upo 😁😁 hapo mchawi unaonekana ni wewe jomba
  3. Ugoromkali

    Hivi Mungu aliwaza nini mpaka akaamua kututupia Ibilisi duniani!

    Hakuna shetani, hakuna jehanam, hakuna peponi, hakuna majini, hakuna malaika💪
  4. Ugoromkali

    Kwanini Mungu yupo?

    Katika wachangiaji woote humu ndani, wewe pekee ndio umeongea point 👏na kwa point hii, huu mjadala naona ufungwe tu sababu mkuu umemaliza kila kitu, binadamu hakuna tunachokijua kuhusu ulimwengu huu ilichobakia tunarukaruka tu assumptions and imaginations nyiingi
  5. Ugoromkali

    Nina wasiwasi idadi ya wasiojua kusoma na kuandika inazidi kuongezeka nchini Tanzania

    Huyu bi mkora hana anachokijua maskini! Tatizo amelewa wanzuki ya madrasa 😂😂😂
  6. Ugoromkali

    Nina wasiwasi idadi ya wasiojua kusoma na kuandika inazidi kuongezeka nchini Tanzania

    Haka kanakuaga kajinga siku zote 😂 usibishane na mjinga atakuambukiza ujinga wake wa ulevi wa madrasa
  7. Ugoromkali

    Maswali magumu ya mwanafalsafa Epicurus kuhusu mwenyezi Mungu

    Mkuu Scars nimekuvulia kofia uko vizuri sana katika kujenga hoja aisee itakuwa wewe ni genius halafu hutumii nguvu wala lugha za hovyo hongera sana
  8. Ugoromkali

    Maswali magumu ya mwanafalsafa Epicurus kuhusu mwenyezi Mungu

    Un Ungepewa freewill kama uzaliwe au kutokuzaliwa hakuna freewill hapo 😂😂 eti freewill unaikuta baada ya kuja duniani!
  9. Ugoromkali

    Kwanini Biblia imeandikwa kwa lugha ngumu?

    Mpaka sasa hii 2022 Kiranga hajapata jibu lake la kudhibitisha Mungu yupo? 😂😂Watu wamesanda
  10. Ugoromkali

    Kwanini Mungu hakurekebisha kilichosababisha shetani akaasi kabla ya kumuumba binadamu?

    Halazimishi kivipi? Kwani wewe kuja duniani ulitaka? Au ulijikuta tu duniani? Hivi unaelewa nachozungumza?
  11. Ugoromkali

    Kwanini Mungu hakurekebisha kilichosababisha shetani akaasi kabla ya kumuumba binadamu?

    Ndio maana nasema tumelazimishwa kuishi na kufuata matakwa ya aliyetufanya tuishi unakubaliana na hii kauli? Kwasababu tungelikuwa tunaulizwa iwapo unapenda au hupendi hizi mbilinge za hapa duniani basi ingelikuwa ni vyema sana na hapo hizo hukumu zingekuwa zinafanyika kwa haki, lakini from no...
Back
Top Bottom