Katika wachangiaji woote humu ndani, wewe pekee ndio umeongea point 👏na kwa point hii, huu mjadala naona ufungwe tu sababu mkuu umemaliza kila kitu, binadamu hakuna tunachokijua kuhusu ulimwengu huu ilichobakia tunarukaruka tu assumptions and imaginations nyiingi
Ndio maana nasema tumelazimishwa kuishi na kufuata matakwa ya aliyetufanya tuishi unakubaliana na hii kauli? Kwasababu tungelikuwa tunaulizwa iwapo unapenda au hupendi hizi mbilinge za hapa duniani basi ingelikuwa ni vyema sana na hapo hizo hukumu zingekuwa zinafanyika kwa haki, lakini from no...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.