Tuache utani tulipigania Sana chadema kwaajili ya ukatili wa magu ila kwa hili hapana mdude kakosea Sana ,tudai haki yetu kwa bussra SI kwa matusi Yale.mama ni mwelewa anapenda haki.
Sasa waende bungen kufanyaje maana watatukanwa watasemwa vibaya watatishiwa maisha wataambiwa wakala wa mabeberu mahawara watasekwa ndani.baadae wataambiwa waunge juhudi.haina maana kuwa na bunge la namna hyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.