IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Hizi ni hadithi fikirishi na zilikuwa zinajenga kuwajenga watoto kiakili na uwezo wa kufikiri na kupanuka kiakili. Sasa hivi watoto wanasomea kujibu test na kukariri kwa ajili ya mitihani. Lakini kama haitoshi bado wanaiba mitihani kwa kushirikiana na walimu wao. Unategemea kuna atakayeunda hata baiskeli hapo? Midoli tuu ya kuchezea watoto inatoka China.Hadith za watoto
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app