MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,478
- 20,394
Kuna mtu mmoja ambaye yuko kwenye mambo ya sheria aliwahi kuniambia hamna mwanasheria yoyote anayependa kuwa upande wa pili na Kabudi, awe muafrika au beberu.
Bwana mdogo Amsterdam alipoanza kuongea ongea huko Twitter Kabudi mara moja aliingia kwenye timu ya wanasheria wa Tanzania na ndani ya siku moja tu meza ile iliweza kuidigest kesi. Kabudi alitoa taarifa kuwa hamna kesi yoyote kwenye hilo na wahusika watapotea wenyewe kadri muda unavyoenda. Kweli mpaka leo wamepotea wenyewe. Amsterdam kimya.
Hongera sana Kabudi huyu Robert Amsterdam amejifunza kitu kutoka Tanzania.
Bwana mdogo Amsterdam alipoanza kuongea ongea huko Twitter Kabudi mara moja aliingia kwenye timu ya wanasheria wa Tanzania na ndani ya siku moja tu meza ile iliweza kuidigest kesi. Kabudi alitoa taarifa kuwa hamna kesi yoyote kwenye hilo na wahusika watapotea wenyewe kadri muda unavyoenda. Kweli mpaka leo wamepotea wenyewe. Amsterdam kimya.
Hongera sana Kabudi huyu Robert Amsterdam amejifunza kitu kutoka Tanzania.