Recent content by ugido

  1. U

    Nahitaji kioo cha sumsung s8

    Naomba kina chief mkwaw na wengine mnisaodie msikae kimya nashida itazido lupasula
  2. U

    Nahitaji kioo cha sumsung s8

    Habari wana jamii forum naomba msaada mwenye kujua kioo cha simu ya sumsung galax s8, au housing na kiooo maana kimepasuka chambele na cja nyuma , simu yangu imepasuka kioo ikiwa bado mpya naomba mwenyekujua vioo hivi vinapatikana wapi na kwa bei gani,
  3. U

    App hii bestmart tanzania ni app ya kweli

    Nyie nisaidieni kwa anaejua kwahiyo mnataka mwenzenu nipate ukimwi nije kulialia hapa jf Sent using Jamii Forums mobile app
  4. U

    App hii bestmart tanzania ni app ya kweli

    Simu aliyonayo ni yakawaida tecno ambayo sio touchscreen Sent using Jamii Forums mobile app
  5. U

    App hii bestmart tanzania ni app ya kweli

    Habari wana jf naomba msaada nimekutana na hii app ya ku hack simu wakanipa maelekezo hadimwisho nikakuta kuna kuingiza code na hiyo code unailipia sh 46,000 wanasema unaweza kuhack namba ya simu na mwenye simu asijue, nikweli nataka kuhack namba kwasababu ninamume mchungaji mzinzi mno kila...
  6. U

    Dawa ya kupungiza makali ya kansa

    Watu wameshindw kunisaidia kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. U

    Dawa ya kupungiza makali ya kansa

    Habari wana jamii forum naomba kuuliza mtu mwenye kunua dawa ya kienyeji inayopunguza makali ya cancer . nina mgonjwa wa cancer ya kizazi ameshapata chemo kama mara 2 yakwanza ilikuwa mwaka juzi pamoja na mionzi , mwakajana chemal lkn hazioneshi kumsaidia kwanza ndo anazidi kuzidiwa maana...
  8. U

    Ubora wa simu aina ya samsung galaxy note 3

    Mungu akusaidie upate original hakuna sumsang zilizokopiwa kama simu za sumsung note yani balaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. U

    Simu gani nzuri yenye ubora wa camera bajeti yangu 420K mwisho na iwe mpya

    450k-500k mpyaaaaa kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. U

    Simu gani nzuri yenye ubora wa camera bajeti yangu 420K mwisho na iwe mpya

    Sumsung galax s6 edge Sent using Jamii Forums mobile app
  11. U

    Msaada wa kuinstall memory card kwenda kwenye internal storage.

    Kha! Jamani? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. U

    Msaada wa kuinstall memory card kwenda kwenye internal storage.

    Chief mkwawa msaada plz Sent using Jamii Forums mobile app
  13. U

    Msaada wa kuinstall memory card kwenda kwenye internal storage.

    Mkuu huo uzi haujafafanua ni unaelekeza jinsi ya kupata memory csrd yenye speed maana yangu ina gb 10 na ni class 10 Sent using Jamii Forums mobile app
  14. U

    Msaada wa kuifanya memory card kua default storage Samsung J5

    Mkuuu ungeshusha procedure ya kuinstall sd card to intermal memery ili kuonheza ukubwa wa nafasi katika simu. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom