Amewahi kutangaza nia ya Kugombea ubunge Jimbo la karatu akiwa CCM. Jina lake likakatwa. Baada ya jina lake kukatwa akaamua kuhamia Chadema. Mwaka 2015 alitangaza nia kugombea urais kupitia CHADEMA jina lake likakatwa. BAada ya jina lake kukatwa akaamua kuhama chadema na kustaafu siasa.
Je Slaa...
Wabunge wetu Hawa wanataka hela Za kampeni. Mda umefika ubunge uwe kama udiwani tu. Wanajua hali ambayo tunayo kuwa hazina haina hela halafu bila aibu wanaleta huu ujinga na muhuri wao wa siri.
Nilikuwa nakuheshimu kihoja kwa kiasi kikubwa sasa heshima yangu inaelekea negative. Hakuna uhusiano kimantiki Kati ya vyote ulivyovisema na hoja ya msingi kwenye title. Sitaki kuamini kama unatumia jamvi kama sehemu ya kujifunzia kutengeneza hoja.
chama hiki kipya naomba wasemaje wake mtupe majibu sahihi yenye Dhana ya tafakuri tunduizi.
Kwa kuwa Zito ana siku Saba tu katika chama hiki,
kwa kuwa cheo alichopewa ndio cha juu kuliko vyote katika chama;
kwa kuwa mnajiita ni wazalendo,
ni sababu gani zimesababisha Zito apate nafasi kubwa...
Ni heri arejeshe na pia ni kiwango kidogo ukilinganisha na thamani yake katika Jamii. Rudisha tu baba ili thamani yako idumu. Ndio waumini wetu tulio nao siku hizi.
Acha unafiki. Warioba amekuwa kiongozi mwadilifu aliyelitumikia taifa hili kwa miaka mingi sana. Wewe unajeuri gani ya kutoa maneno hayo kwa kiongozi huyu ambaye kazi Yake imekuwa njema kwa taifa. Wewe umelifanyia nini taifa hili. Acha ujinga na unafiki wa kuwasema Watu.
Kila siku nimejiuluza maswali kadhaa lakini nakosa majibu
kwanza kwa nini tume ya katiba inaitwa ya warioba wakati ilikuwa ni ya kikwete na wote walikuwa ni wateule wake?
pili Kama takwimu Za tume na ripoti zake hazina usahihi kwa nini serikali iliitisha bunge la katiba kwa kutumia mabilioni...
Kinana ni msanii na bingwa wa kuigiza nyakati tofauti. Maigizo yake yanatusaidia nini? Tunaomba na mambo ayafanyayo sirini kuhujumu nchi ayaonyeshe pia kwenye maigizo Yake. Hatutaki atuonyeshe maigizo yasiyo na maana huku nyuma ya pazia ni muhujumu wa uchumi.
Sioni sababu Za kushabikia muungano. Kwa nini Tanganyika na Zanzibar ziliungana na Kama Tanganyika tumenufaika Vipi na muungano? Maana sababu Za kuungana zimejikita katika kudumisha udugu na ushirikiano wa miaka mingi. Hakuna hata sababu Za kiuchumi. Zanzibar ndio wanaonufaika na muungano na pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.