Recent content by Udochi

  1. Udochi

    Tuangalie upya Mfumo wa Elimu ya MASTERS & PHD

    Ni kweli mkuu. Hoja yako ni sahihi. Unakuwaje na Shahada ya Uzamivu kwenye eneo ambalo hukubobea kwenye Shahada za awali?!?! Vipi, kuna mtu amepewa ukuu wa chuo cha fani ambayo hajaisomea kwenye shahada ya kwanza??
  2. Udochi

    Programu za Online kwa ngazi ya Master, DUCE

    Kwenye kitabu cha mwongozo, DUCE wana kozi mbili za Master zifundishwazo kwa mfumo wa online, nazo ni - Master of Education in Educational Leadership and Policy Studies. & - Master of Education in Curriculum Studies. Naomba kujuzwa kwa waliosoma kwa mfumo huo katika chuo hicho, Ufanisi upo...
  3. Udochi

    Je, utajiri wa wachungaji na maaskofu unatokana na fedha za waumini au juhudi zao?

    Nina mkakati wa kuanzisha kanisa la maombi, maombezi na miujiza hivi karibuni.
  4. Udochi

    Nina millioni 1 na laki 3 nifanye biashara gani?

    Ukinunua pikipiki ya kumpa mtu akuletee pesa, utakuja kulia hapa muda si mrefu!!!
  5. Udochi

    Nimeamua sasa kuachana na ualimu na kwenda kusoma

    Mkuu, usisikilize ushauri tofauti na huu [emoji116] Nenda kapige shule. Usitishwe na lolote. Cha muhimu hakikisha hiyo pesa haipotei kwenye vitu vya anasa kiasi cha kuleta majuto. Ukishindwa kuifanyia biashara kabisa kwa sasa- nunua ardhi ya uhakika sehemu yenye thamani. MSISITIZO; Soma...
  6. Udochi

    Msaada: Kwa Tsh. Milioni 26 naweza kujenga nyumba ya vyumba viwili nchini?

    Kwa hiyo pesa unahamia, Ila vitabaki vitu vichache kwenye finishing, ambavyo sio vya kuumiza kichwa.
  7. Udochi

    Kikomo umri wa kuomba ajira Serikalini

    Nadhani huyo ndugu mwenye umri wa miaka 45 ni wewe mkuu.
  8. Udochi

    Naomba msaada kuhusu Kampala International University

    Unataka kumaanisha kuwa KIU inakubalika na kutegemewa sana Uganda kama inavyokubalika na kutegemewa TEKU hapa Bongo??
  9. Udochi

    Ulishawahi kujilaumu kwa kufanya starehe ya muda mfupi yenye madhara makubwa kwako?

    Baada ya kubaini kuwa nina Dola 2,000, Ningepotea na simu ningezima. Asingepata ganji ndezi yeyote.
  10. Udochi

    Natafuta kiwanja maeneo ya bagamoyo road wakuu

    Tahadhari kubwa sana ichukuliwe na mtoa mada wakati wa mauziano ya kiwanja husika.
  11. Udochi

    Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero

    Mwambie TANAPA wametangaza kazi, Achangamkie fasta.
  12. Udochi

    Mwanamke akikuuliza unafanya kazi gani mnachomoka vipi huu mtego?

    Mimi namwambia kuwa nasubiria teuzi hivi karibuni!!!
  13. Udochi

    Mabinti wanaomaliza vyuo na kurudi nyumbani wananyanyapaliwa sana na wazazi kuliko vijana wa kiume

    Una uhakika kuwa hao mabinti wana adabu kwa wazazi wao? Uzoefu unaonesha kuwa binti akiwa na adabu na msikivu, anaweza kuishi nyumbani hata awe na miaka 45.
Back
Top Bottom