Ni kweli mkuu. Hoja yako ni sahihi. Unakuwaje na Shahada ya Uzamivu kwenye eneo ambalo hukubobea kwenye Shahada za awali?!?!
Vipi, kuna mtu amepewa ukuu wa chuo cha fani ambayo hajaisomea kwenye shahada ya kwanza??
Kwenye kitabu cha mwongozo, DUCE wana kozi mbili za Master zifundishwazo kwa mfumo wa online, nazo ni
- Master of Education in Educational Leadership and Policy Studies.
&
- Master of Education in Curriculum Studies.
Naomba kujuzwa kwa waliosoma kwa mfumo huo katika chuo hicho,
Ufanisi upo...
Mkuu, usisikilize ushauri tofauti na huu
[emoji116]
Nenda kapige shule.
Usitishwe na lolote.
Cha muhimu hakikisha hiyo pesa haipotei kwenye vitu vya anasa kiasi cha kuleta majuto.
Ukishindwa kuifanyia biashara kabisa kwa sasa- nunua ardhi ya uhakika sehemu yenye thamani.
MSISITIZO;
Soma...
Una uhakika kuwa hao mabinti wana adabu kwa wazazi wao?
Uzoefu unaonesha kuwa binti akiwa na adabu na msikivu, anaweza kuishi nyumbani hata awe na miaka 45.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.