Hakuna mtu yeyote anaeweza kumtoa Lema Arusha kwa sasa ni mbunge wetu na ataendelea kuwa mnaopiga kelele mnamuogopa sana lema na muendelee kuota hivyo hivyo na asiposhinda unitafute nakupa mil moja cash.Mimi niko Arusha na kwa hili la lema kutokushinda ni mawazo ya wanasisiem na sio ya makamanda...
Mleta mada hajafikiria vya kutosha hata mfanyabiashara anaekaa rombo tu au kijijini tu huwezi mfananisha na anaeenda dubai au mfanyabiashara wa dar.Lazima tuelewe alieleta mada ana uelewa gani nafikiri amezoea kazi za manual zaidi uwepo wa mtu eneo husika hakuna maana ni mfanisi mzuri hii ni...
Nataka niwaambie nyie mliotumwa na ccm hakuna mtu yeyote aliyeko hai anaeweza kulichukua hili jimbo kama sio lema,Kama ulitoa mil ukitegemea malipo ulikosea na hautalipwa ww rudi ccm kwani ndiko ulikokuwa.Katika maisha hakuna mafanikio kama kujiamini Lema ndie ameifanya Arusha iwe kama ilivyo...
Kuna tetesi kuwa ccm kitamvua uanachama Lowasa nataka niwahakikishia hawa jamaa hawajawahi kumfuta hata balozi wa nyumba kumi na halitawezekana kwa lowasa.Kama tuna kumbukumbu walishasema kuvua gamba hawakuthubutu kugusa hili jiwe la msingi na kwa
hili halitatokea labda wamsimamishe...
waambieni waje Arusha wao ndio watampigia cm RPC aje awasaidie sio cc watu wazima.Kumbia sio ujinga ila mngejipanga hapo mbele wengine na mawe na wengine vibao vya mbao na kuvunja matawi ya miti mnawazibiti duu dar waoga
Nasikia wanaume 13 wa dar wakubwa walikutwa chini ya vitz wamejificha jiulize waliingiaje.Hivi hayo mabody mnaoyoendea gym mnatongozea au nn kazi ya nguvu kidogo au ya kutumia akili mnaingia chini ya vitz wote.duuu
Shamba likikushinda liache masisiem mnajua lema ndie tatizo la nyie kulichukua hili jimbo mnajifanya mnatushauri tummwage lema ili mshinde tangu lini mmekuwa na huruma na chadema kwaniArusha sisi wote ni chadema.Mtakaa sana.Katika maisha hakuna msaada mkubwa na maendeleo kwa yeyote kama mtu...
Hivi nyie masisiem mmekuwa kama isis.Mnalaumu na kuhukumu hata walio na haki.Lema anatetea wale wasio na haki au wasioweza kujitetea na wasioweza tena kusema,Hakuna mwenye haki ya kuua hata kama anaeuawa nae kaua tukiruhusu polisi hawa wauae bila kusemwa tutauliwa na ndugu zetu watauliwa sana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.