Recent content by Ucuaz

  1. Ucuaz

    Nitaka nianze mchakato wa talaka!

    Pole sana kwa changamoto hiyo Boss,,lakin pia kuw makin nae sana huyu mwanamke,,kuna hali ya hatarii ,,kuhusu kuachana kwakweli mm bado sijaona sababu ya msingi ya kufanya mpeane talaka unasema kuw umehisi anamahusiano nje bt huna ushahidi kamili maana hujamfumania akiwa na mwanaume Sent using...
  2. Ucuaz

    Kama unatembea na mke wa mtu wewe ni mpumbavu

    Ukweli ni kwamba ameshaliwa,,kupingana na ukweli utaendelea kuumia tu mkuu,,kama ulikosea mwanzoni mbele kwa mbele atakuja acha uo ujinga ,,lkn jiulize unakosea wapi....?? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Ucuaz

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Afisa tabibu,,diploma salary ikoje?? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Ucuaz

    Mimi mgeni mnikaribishe kwa shangwe

    Mnikaribishe kwa shangwe
Back
Top Bottom