Pole sana kwa changamoto hiyo Boss,,lakin pia kuw makin nae sana huyu mwanamke,,kuna hali ya hatarii ,,kuhusu kuachana kwakweli mm bado sijaona sababu ya msingi ya kufanya mpeane talaka
unasema kuw umehisi anamahusiano nje bt huna ushahidi kamili maana hujamfumania akiwa na mwanaume
Sent using...