Recent content by Uchira1

  1. U

    Waziri Kagasheki ajiuzulu; David Mathayo, Nchimbi na Nahodha watimuliwa na Rais Kikwete!

    Hawakuwa wa kujiuzuli, ilitakiwa wafukuzwe. Lkn bado wamebaki wengi lege lege. Kwa ujumla serekali yote in legelege.
  2. U

    Wana Gangilonga mpo?

    Namkumbuka sana Nassoro alivyokuwa anafunga mayenu, na yule jamaa wa stori za cinema za kihindi unamkumbuka?? sikumbuki jina lake. Please ni PM.
  3. U

    Wana Gangilonga mpo?

    Hii thread inanikumbusha mbali sana sana Tusker Baridii nafikiri tulikuwa wote class moja, mi nilikuwa Class ya 1987, hii thread inanikumbumbusha mbali sana sana, class mate wangu walikuwa ni Kina Joyce Kibasa, Zena Mkwawa, Nyambilia Amuru, Makumulo Waziri, Stewart Mwakabuta, Idi Mtalika...
Back
Top Bottom