Ni nani hasa mroho wa madaraka kati ya aliye madarakani na hataki kutoka au asiye madarakani na anataka kuingia????
nb lengo la chama cha siasa chochote ni kuunda serikali ama kutawala nchi
Taarifa zaidi zinasema shinikizo la kumtaka Mbowe
agombee kupitia MBOWE linatoka katika makundi
makuu mawili ambayo ni
nichojifunza toka kwa hilo gazeti ni kuwa kuna chama cha siasa kinaitwa ....MBOWE ........au wenzangu hamjaona hiyo?????
hiyo picha ni sawa na mistari ya bibilia au kuraan kwa kusoma mstari mmoja huwezi elewa maana so tafuta zaidi kwanini iwe hivyo kwanini watu wamemzunguka
kachaniwa au kachana mwenyewe??? so kama hujajiuliza maswali kama hayo basi wewe si lolote bali unasubiri giza ukojoe mkojo ulale
naomba nielekezwe kwa mfano shule ya kata ya nambambo wilayani nachingwea kata ya nachingwea imeanza kuchukua kidato cha kwanza 2006 je ilianzishwa katika awamu ili ya uongozi
pia shule mbili za kata ya chigugu wilayani masasi mbemba day 2005 shirima day 2006 zinaangukia ktk awamu ipi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.