CHADEMA yawagaragaza CCM Mahakamani

CHADEMA yawagaragaza CCM Mahakamani

Yaani huu ni Mwaka wa kugaragaza mpaka October 2015 watakuwa wanatembelea masaburi tu, kwani washapinduliwa miguu juu.
 
Angalia hii...Mlalamikaji wa CCM ni kutoka CHAGGALAND...Mlalamikiwa ni wa Chadema naye ni kutoka CHAGGALAND...hiyo serikali ya mtaa iko ArushaLand ambapo mbunge wake ni wa Chaggaland pia.Je hii ni ishara ya mbunge huyuhuyu wa Chaggaland kurudi tena bungeni...???

Ndugu kwa miaka hii bado Watz mnabaguana kwa ukabila na Ukanda? Kweli elimu haijawakomboa watanzania wengi
 
Chama cha Demokarasia na Maendeleo CHADEMA leo imeshinda kwenye kesi iliyofunguliwa na Aliyekuwa mgombea wa CCM Joseph Lymo.

Kesi hiyo iliyofanyika kwenye Mahakama ya wilaya ya Arumeru iliyopo Sekei. Walimshtaki GODFREY J MUSHI aliyeshinda serekali ya mtaa kupitia tiketi ya CHADEMA. Kesi hiyo imetupiliwa mbali kutokana na kutokidhi matakwa ya kisheria ya mahakama.

Chanzo: Mwanahabari Huru

Tangu jana ni kugalagazwa CCM tu hadi raaaaaaaaaha. Maana Mtaa wa Kingazi B kwembe wamegalagazwa pamoja na kupeleka FFU kibao. Sasa tunataka ile mitaa iliyopitishwa na CCM bila kupingwa uchaguzi urudiwe halafu tuone asipozimia mtu pale Lumumba. Mzee Tupa Tupa na Faiza Foxy upo?
 
Tangu jana ni kugalagazwa CCM tu hadi raaaaaaaaaha. Maana Mtaa wa Kingazi B kwembe wamegalagazwa pamoja na kupeleka FFU kibao. Sasa tunataka ile mitaa iliyopitishwa na CCM bila kupingwa uchaguzi urudiwe halafu tuone asipozimia mtu pale Lumumba. Mzee Tupa Tupa na Faiza Foxy upo?

Ccm wao wamebaki na fisi tu
 
chadema inaenda mahakamani ila inakataza wanachama wake waende mahakamani kama wameomeniwa na Chama!
 
chadema inaenda mahakamani ila inakataza wanachama wake waende mahakamani kama wameomeniwa na Chama!


nikusaidie kusoma bandiko upya???? nahisi hujasoma bandiko la msingi ukaelewa aliyefungua kesi/mlalamikaji
 
nikusaidie kusoma bandiko upya???? nahisi hujasoma bandiko la msingi ukaelewa aliyefungua kesi/mlalamikaji

chama kinacho kataza wanachama wake wasiende makamani kinaendaje kudai haki mahakamani??? yaani mwanachama wa chadema akienda mahakamani anakua kesha jifukuza uanachama!
 
chama kinacho kataza wanachama wake wasiende makamani kinaendaje kudai haki mahakamani??? yaani mwanachama wa chadema akienda mahakamani anakua kesha jifukuza uanachama!

Ni chadema ndio tulipelekwa mahakamani lakini tumeshinda
 
chadema inaenda mahakamani ila inakataza wanachama wake waende mahakamani kama wameomeniwa na Chama!
acha ujinga wewe chama cha mafisi ndiyo walioenda mahakamani kupinga matokeo baada ya kugalagazwa vibaya na CHADEMA.
 
Back
Top Bottom