Baada ya kukaa muda mrefu na kukosa series kali ya kufuatuli kaamua tu kuishi
Na hizi movies
TAKEN 1-3
THE HANGOVER I-III
kama hukuoata muda wakuziangalia unaweza ziangalia zipo vizuri sana.
Nakuunga mkono bro uko mwanzo ilikuwa ni story ya kweli ila mbele tunapoenda ni kutunga tu kwa hali ya kwaida tu uyo lryn alikuwa ashaliwa ilaa ikifika wakati wakumla au wapo faragha mwandishi anazidi kuweka vikwazo ila sio mbaya ni utunzi mzuri japo.
lakini UTI sio ugonjwa wa kuambukiza kwa njia ya kujamiana, labda kama alipata magonjwa ya zinaa na wengi hata ukiwaambia wanamagonjwa ya zinaa wakitoka wataenda kusema walikuwa ya UTI, ila UTI huwezi kuipata kwa njia ya tendo la ndoa , sema limekuwa chaka la wahuni wengi kuficha magonjwa yao ya...
Asee kuna muda matren yanaumizasana unafukuzia milonin40 inachana moja mbili, tusiache kuweka matren asee kuna siku yatatoboa tu
Ila tusiache kuweka na iz ndogo ndogo usisahau kustake parefu pia
Shukran sanaaa
Leo katika kutembea nimekutana na hii website inaitwa 1.moviesjoy.to hii unaangalia movies in HD kabisa pia utaweza pakua movies ukitaka
2. Kwa watumiaji wa android kuna hii app inaitwa na torrdroid ipo playstore utaweza pakua movie utakayo pia
Mzee mm sio mgeni kwenye kubet ni mkongwe sanaa iyo game ilikuwa ya pili kwenye mkeka ndio imezingua alafu nishawai cash out 1.3M alibaki sevilla ilikuwa nishinde 7M kwa 5000 sevilla akaja shinda kwaiyo najua nn nafanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.