Recent content by Ubaya Ubwela

  1. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Leo nimemwona Mwandambo Daah! Mpaka nimelia. Nimesikitika Sana

    % kubwa ya coment zimeulalamikia huu uandishi wake wengi awajaelewa Ila yeye anakomaa na kuona hao ambao awajaelewa wala kuona point kwamba ndo wana shida Tukubali kukosolewa tusiwe kama wana CCM
  2. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Leo nimemwona Mwandambo Daah! Mpaka nimelia. Nimesikitika Sana

    Moja kati ya uandishi mbovu, maneno mengi yasiyo na point
  3. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania KERO Airtel Router ni mradi wa kuwaibia wananchi? Kifurushi cha 70k 'Unlimited' kinaisha siku 11, Booster ya 30k inafutwa kinyemela!

    Kwanini wasiwaweke wazi wateja wao kua ina limit, uoni kama ni uhuni
  4. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Nimebolt nauli inasoma 2500 nafika sehemu ya kushuka nauli inasoma 6000

    Upigaji kila sekta
  5. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Mwigulu anatumia matatizo ya wananchi kujijenga kibinafsi ingawa mbinu hii ni zilipendwa! Anatamani matatizo ya watu yawe mengi!

    Moja kati ya viongozi wa hovyo wasio na ushawishi ndani na nje ya chama chake
  6. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Wazee CHADEMA wabwaga manyanga

    Huku ni kuishiwa hoja kwa vijana wa lumumba, wanaropoka lolote ili mradi walambe buku 7
  7. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Ya kishamba pia
  8. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Ukweli ni kwamba % kubwa ya Series za spain zinaawaliwa na Mapenzi aitegemei story ipoje ila laIma asilimia kubwa yatawale mapenzi
  9. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Oktoba 29 vyombo vya dola vilikuwa havina namna, risasi za moto zilitumika kutuliza zile vurugu

    Mzee akubali tu kua teuzi zilishapita kushoto
  10. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Money Heist ila 98% ni mapenzi Waspain walichokoawa ni nachi ili kuwafikia Wahindi
  11. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Miaka 25 ndoa ya Makamba January na Ramona, shikamoo Ramona

    Huu uzi tunawachia wanaume wa dasalama Sisi wa mikoani tunabaki kua wasomaji
  12. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Zingatia mambo haya kila unapoingia saloon kunyoa ama kusuka

    Ukitoka hapo unaenda kwa malaya unazama Chumvini na kuichapa peku yakishakukuta unalaumu kinyozi
  13. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Uhakika ya Kupunguza Uzito Bajeti Ipo, Sitaki Msaada wa Bure

    Bonge linachamba kwelikweli Mabonge yanapenda Kunya hivyo swala kumwambia apunguze kula mtagombana
  14. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Niliwahi kuguswa na malaika begani kunishtua hatari

    Bahati yako ungebakwa
  15. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Wazazi, likizo imefika; Mmemuandalia programu gani mtoto wako?

    Rikizo kwa mtoto kupumzika kutembelea ndugu na jamaa
Back
Top Bottom