Recent content by Ubaya Ubwela

  1. Ubaya Ubwela

    Bodaboda wapo tayari Kwa maandamano 7 April, 2026

    Hawa ndo vinara wa Oktoba tunatiki
  2. Ubaya Ubwela

    Usafiri wa umma kwenye majiji na manispaa uwe wa kutumia umeme tu

    Nchi gani hiyo? Hata kama una miaka 5 sasa hata ukiishi kwa miaka 100 ijayo uwezi kuona kitu kama hicho kwenye nchi hii
  3. Ubaya Ubwela

    Ukiona Redflags hizi, usioe

    No 90 izingatiwe zaidi Mambo ya Sikupi mpaka ufanye hiki au sikupi mpaka unioe, ukiikubali utateseka huko ndoani
  4. Ubaya Ubwela

    Mrejesho mwingine wa mke wangu, alirudi ila baadae aliondoka tena

    Huli limjomba alishauliki unapoteza muda wako tu
  5. Ubaya Ubwela

    Rais wa CAF: Mechi ya fainali kati ya Morocco na Senegal si jambo muhimu sana kwetu kuendelea kulijadili, suala hilo tayari liko CAS

    Mjinga huyu kibaraka wa waarabu Likiendelea kuwanyenyekea watalipakua
  6. Ubaya Ubwela

    Mgahawa wangu mambo yalikuwa mazuri, ghafla imedoda, nifanye nini biashara irejee kwenye mstari?

    Kosa kubwa ulilofanya ni kufunga biashara, cha kufanya ungepunguza kiwango cha kupika kama ulikua unapika kilo 5 ungeshusha mpaka kilo 2 ukunikiendelea kushughulikia hiyo changamoto la tatizo la watejakupungua
  7. Ubaya Ubwela

    DOKEZO Polisi njooni mtuondolee vibaka huku Misugusugu Kibaha, wananchi wanateseka au mmewashindwa?

    Hao mpaka uwambie Chadema wapo huku wamekusanyika tofauti na hivyo uwaoni
  8. Ubaya Ubwela

    Kasema hanipi mpaka niende kwao kujitambulisha na Mimi nimemwambia siendi mpaka anipemo

    Ndo desturi mkuu Fist touch ikiwa mbovu huko mbele boli litakushinda
  9. Ubaya Ubwela

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Hii inaitwaje naona kikorea tu hapo
Back
Top Bottom