Recent content by Ubaya Ubwela

  1. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Magori ni kama Heche tu,baada ya uongozi wake kuziba upigaji na mianya utopolo kuifunga Simba

    Sasa hili baraza ndo Mangungu kaenda kuteua wahuni akina Hasanoo na Try Again, kwa mwanasimba yoyote Mwenye akili Timamu awezi kukubali mali za klab ziwe chini ya hawa wapigaji, moja kwa moja kwa uteuzi mangungu anategenezea vurugu na mivutano kati ya hilo baraza na wawekezaji, Kuna wazee...
  2. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Rachel Dangwa hajulikani alipo

    Acha upumbavu Siku za Mwanadamu yoyote zinahesabika
  3. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kula ugali kwa wingi

    Hata mseme nini siachi kula ugali Kuna ugali wa mtama unamix na unga wa muhogo, kuna ugali wa Mahindi unamix na unga w Muhogo,
  4. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Magori ni kama Heche tu,baada ya uongozi wake kuziba upigaji na mianya utopolo kuifunga Simba

    Unasound kifala sana kwa maandishi yako yanaonyesha hakula lolote ulijualo
  5. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Magori ni kama Heche tu,baada ya uongozi wake kuziba upigaji na mianya utopolo kuifunga Simba

    Kirusi ni Try Again aliyepo nje anamtumia mangungu kuleta migogoro
  6. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Mzee Malecela: Tulinde amani, hakuna maendeleo yanayoweza kupatikana bila kuwepo kwa amani na utulivu

    Kama ajazungumzia neno haki huyu ni wakupuuzwa
  7. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa kumchosha na kumpotezea Muda Tundu Lisu utafanya kazi?

    Huyu njemba ni mweupe mno kwenye medali ya siasa
  8. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa kumchosha na kumpotezea Muda Tundu Lisu utafanya kazi?

    Kumbe jamaa ni mjinga na nweupe kiasi hiki
  9. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Unaweza kuoa lakini vituko vya mke vikakufanya uingie kwenye tabia hatarishi

    Umejaribu kumshushia kichapo kizito na onyo kali Kichapo kizito ndo barua ya onyo kali kwenye ndoa
  10. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Magori ni kama Heche tu,baada ya uongozi wake kuziba upigaji na mianya utopolo kuifunga Simba

    Baada ya uongozi wa Try Again na Mangungu kusuasua na timu Kufanya Vibaya kitaifa na kimataifa na kua zinafanyika Sajili mbovu na za kipigaji kuletwa wachezaji wasio na Uwezo, kama Pah Omar Jobe Fredy Michael Ismair Sawadogo na wengineo Wengi Ikabidi Mo afanye Mabadiriko kwa mtendaji Mkuu kwa...
  11. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Tanesco mnatuhujumu wakazi wa Mwanza na Kanda ya ziwa Kwa ujumla

    Tengenezeni Chanel za whatsapp kwa kila mkoa achaneni na makundi huwezi kuunga watanzania wote
  12. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Kwanini matukio ya Ngono za Kuagana kabla ya Harusi yanashika kasi Tanzania?

    Wanawake ni wajinga mno hayana akili Kama una akili unskubalije upuuzi kama huo siku moja kabla ya harusi
Back
Top Bottom