Ukitaka kuwa na uhakika na kitu ulichonunua ni bora ununue mlimani city maana kariakoo kama sio mzoefu unaweza ibiwa au ukauziwa kitu feki kwa gharama kubwa kwasababu bei ni maelewano wakati city unakuta bei imewekwa tayari labda uombe discount.
Rais wa aina hii tulichelewa kumpata ilitakiwa tumpate hata awamu ya pili hakika tungekuwa tumepiga hatua. Anajitahidi sana! Najua hawezi kupendwa na wote ila walio wengi hata kama hawatasema hadharani lkn kimoyomoyo wanamkubali kama ninavyomkubali. Shida kubwa ya sisi watanzania tunapotezwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.