Recent content by ua la Tz

  1. U

    IKULU: Rais Magufuli akutana na Bill Gates. Atenga bilioni 777 kutekeleza miradi mbalimbali sekta ya Kilimo na Afya

    Ameona kasi ya Rais Magufuli ndio maana katoa pesa kwa hiyo usikurupuke tu kusema Sent using Jamii Forums mobile app
  2. U

    IKULU: Rais Magufuli akutana na Bill Gates. Atenga bilioni 777 kutekeleza miradi mbalimbali sekta ya Kilimo na Afya

    Chadema kaeni kimya makelele yenu hayamtishi/kumzuia ng'ombe kunywa maji. Mr lisu(chedema) soma alama za nyakati sio kwa Rais Magufuli Sent using Jamii Forums mobile app
  3. U

    Kama umewapatanisha Ruge na Makonda, Nape naye aombwe radhi na kurudishwa kazini

    Nape hakuwa na heshima kwa baba yake alitakiwa kujua hilo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. U

    Wakili Kibatala: Natumaini Lissu Siku moja mbeleni utakuja gombea Urais wa Tanzania

    Wakili unamdanganya lisu ni bora abaki bungeni lakini kwa kasi ya Rais Magufuli awezi hao wazungu wanamkubali sana misaada wanazidi kumpa na kelele za lisu mfano wagermani wametoa pesa ya kutoa maji ziwa victoria kwenda simiyu na USA na UK wametoa pesa ya bara bara ya mikumi mpaka ifakara maana...
  5. U

    GE2020 Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

    Nimeona TBS usa na uk wametoa pesa ya msaada kujenga bara bara ya mikumi ifakara . Je unafikiri kelele za lisu zinasaidia? Mie napenda kukupa ushauri lisu kaa chini ujiangalie speed ya Rais Magufuli ni kali utaumia kama ukisikia wanapendekeza eti unafaa kugombea uraisi Sent using Jamii Forums...
  6. U

    GE2020 Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

    Nimeona wajermani wametoa pesa kwa ajili ya mradi wa maji toka victoria mpaka simiyu. Lisu angejiuliza kelele zake azimzuii Rais kufanya kazi na ndio maana wazungu wanatoa msaada sio mkopo. Kwa hiyo lisu awezi kasi ya Rais Magufuli anatakiwa kusoma alama za nyakati. Ushauri mnaompa hautamzaidia...
  7. U

    GE2020 Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

    Msimdanganye atakosa hata kuingia Bungeni kwake uraisi hawezi kwa kasi ya Dr. Magufuli anayoifanya ktk nchi hii angalia hao waisani wanazidi kutoa pesa hata na makelele ya wapinzani. Kumbukeni la Zanzibar na wakasema hivyo Rais akusikiliza mtu anachokifanya kwa kitendo ndio maana wanazidi kumpa...
  8. U

    Ndege ya tatu aina ya Bombardier Kuwasili nchini Mwezi huu

    Hata marekani kuna watu hawajawahi kupanda ndege yaani hawana pesa sio kila kitu wote watafanya. Tumuunge mkono kwa hili Sent using Jamii Forums mobile app
  9. U

    Waziri Mpango akifungia kituo cha mafuta cha GBP eneo la Uwanja wa ndege Dar es Salaam

    Pia stand ya mabus yote wale mawakala wanaokusanya pesa kwenye magari Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
  10. U

    Waziri Mpango akifungia kituo cha mafuta cha GBP eneo la Uwanja wa ndege Dar es Salaam

    Safi sana ila najiuliza maafisa wa TRA hawaoni hivyo maana hata mafuta wananunua wapi ya magari yao. Muheshimiwa pita na kwenye mini super market na sehemu wanazouza vyakula kwa jumla Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
  11. U

    Ushauri kwa Kamishna Mkuu wa TRA

    Kuhusu machine za risiti Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
  12. U

    Mheshimiwa Rais, watumishi wote wa umma wakatwe sh 5000 kuchangia ujenzi wa reli

    Waio watumishi ni watanzania wote kwanini kuwaonea watumishi pekee yao? Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
  13. U

    Swali la kizushi - Je Pesa za TFF zinazodaiwa kupigwa na Malinzi ni Mali ya Umma ?

    fifa wametoa pesa kwa maendeleo ya soka TZ Sio kwa Malinzi kama ilikuwa yake wangeingiza kwenye ac yake. Amefanya makosa wacha akae
  14. U

    Pwani kuna viwanda 371... How!??

    Mara ya kwanza ulikuwa hakuna viwanda sasa vinafunguliwa. Ushauri wangu nenda kwa mkuu mkoa kaulize ndio utajua ni kweli au si kweli kuliko kuchangia kwa kuhisi tu
  15. U

    Hongereni Walinzi wa Rais ila ongezeni Umakini...

    Kwa ushauri wangu asipende kupiga picha na watu wengi wapige wachache tu na muhimu. Kwa usalama wa Rais maana vita ya uchumi sio nzuri kwake bado tunamuitaji
Back
Top Bottom