Recent content by U thot u knew me

  1. U

    Kenya wins World championship

    Ulikuwa unaexpect nini? We are talking about kenya here.......hivyo ndio si hufanya.
  2. U

    Namba moja, mbili, tatu, nne wote Wakenya - bado mtakoma tu

    mnachimba dhahabu wakenya tunanyakua baada ya takriban dakika 8,endeleeni na moyo huo huo twazingoja
  3. U

    Kenya yaigaragaza Austraria

    peru are already begging for our mercy but the malkias are hearing non of it.its 3 to 1 in favour of malkias
  4. U

    Rais Uhuru atoa hotuba fupi kwa historia ya Kenya

    Wacha mwuongo weye enda kwa fb pages za kbc,milelefm,radiomaisha,citizen ama qfm uwaone wa tz wako asilimi 60,
  5. U

    Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

    barabara ziko poa sasa lakini si mumeamua kila mtu anunue gari,uliona juzi watu wamespend ten hours mombasa road kwa kichaka jam ya almost ten km in the middle of nowhere.
  6. U

    Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

    Last time condelezza rice SP alikuja hakuna kazi ilifanyika,network ya simu internet na misongamano barabarani shida tupu,hasa sasa tumejifanya kila kitu ni mobile money kununua,kutoa ama kuweka pesa kulipa bills kulipia parking n.k hapa ni hasara ya mamilioni,si angecome weekend,but theres a...
  7. U

    Kwa nini Museveni anaheshimika sana, akifuatia Kagame

    Wakenya twapenda viongozi wenye mielekeo dhabiti,kama kuna jambo ambalo halinufaishi nchi analiweka parwanja.kama vile kaguta alisema kwake hakuruhusi wasagaji,kagame akaonya bbc wapeleke undaku kwao, no nonsense leaders,ths is the way forwand no bone of contetion
  8. U

    Je, wajua? - Special Thread

    Je wajua mie ndiye niliyemfukuza yule kuku (why did the chicken cross the road) sasa wajua
  9. U

    University project_Kenya

    Hi yiannis, maybe the best you can do is to buy them a water pump to pump water from the river to a common point where they'll pay a few shillings for servicing the water pump and the rest can be used on other things or better yet they can irrigate their farms and generate income from what they...
Back
Top Bottom