Recent content by U-fresh

  1. U

    Kwa mara ya kwanza Tanzania yatajwa kwenye orodha ya Nchi 10 zilizoendelea zaidi Barani Afrika

    Endelea kulala usingizi,hujasikia nchi kwa sasa inaendeshwa kwa mikopo?leo kuna mstaafu amekuja ofisini kwangu anaomba nisaidie sh.5000 akanunue chakula cha familia kwani mpaka sasa hawajalipwa,nikamwambia fedha ya mkopo bado haijafika subiri ikija utalipwa.Nimemhurumia sana,chakushangaza jf...
  2. U

    Kwa mara ya kwanza Tanzania yatajwa kwenye orodha ya Nchi 10 zilizoendelea zaidi Barani Afrika

    Hujui mtaifa mengi ya ulaya na Marekani ni maadui zetu?hujui urafiki wao kwetu unalenga la kutunyonya zaidi kiuchumi?hujui wanatuibia mali zetu kwa mgongo wa ushirikiano wa kiuchumi?endelea kulala usingizi
  3. U

    Kwa mara ya kwanza Tanzania yatajwa kwenye orodha ya Nchi 10 zilizoendelea zaidi Barani Afrika

    Ukishaanza kusifiwa na adui yako jua kuwa huna nguvu tena,kuna tetesi hela za mikopo mnapewa watu kama ww mtoa post muendelee kuimba mapambio mitandaoni,Mungu atawalaani kwa ujinga mnaoendekeza,tumia akili zako kidogo ujihoji kama kuna unafuu wa maisha kwa watanzania walio wengi kama mnavyosifia?
  4. U

    Rais Samia: Kuna vijineno Serikalini hakuna hela, ni kweli…

    Kuna mama alisema hata kwenye maisha yetu ya kawaida unaweza kukopa kutoka kikoba kimoja unalipa kikoba kingine,nadhani serikali ya ccm ilisikia ushauri huu wanakopa kulipa madeni,iendelee kunyesha tujue panapovuja.
  5. U

    Harakati ya kuuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    We haufai kabisa,mwenzio ameeleza kuwa kero zinazotatuliwa ni za wazanzibari tu,watanganyika tuna kero kibao juu ya huu muungano lkn hakuna anayesimama akatetea,hata kama ww ni ccm jitahidi kuchanganua mambo badala ya kumwona kila anayepinga muungano ni mjinga.Muungano ni wetu sote tunahaki ya...
  6. U

    Rehema umetuwakilisha Singida

    Chawa shida tupo
  7. U

    Ujenzi wa vyumba vya madarasa sekondari kwa fedha za mkopo ni matumizi mabaya ya fedha zetu

    Tatizo kubwa linalosumbua nchi yetu ni viongozi kuamini wanahakili nyingi kuliko wasio viongozi, awamu hii ya sita imekuwa ikipeleka fedha nyingi kwenye miradi ya shule sekondari bila kufanya tathmini kuwa je bado kuna uhitaji mkubwa wa vyumba hivyo? Mbaya zaidi fedha inayopelekea huko ni ya...
  8. U

    CCM yafuta matokeo ya uchaguzi wa UVCCM mkoa wa Simiyu kwa kilichodaiwa ni kuwepo kwa dalili wazi za rushwa

    Afute nchi nzima kwani kote wamepata uongozi kwa rushwa,haya maeneo waliyokuwa uchaguzi jua kuwa wamepita watu wasiowataka
  9. U

    Kama ulihisi UVCCM Simiyu ni kiboko, hebu angalia hawa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana rushwa hadharani

    Ulikuwa hujui?ccm huwezi kupata uongozi pasipo kuwapa hongo wajumbe,kama huna hela usijiingize kabisa kwenye siasa za ccm,huko ndiko chuo cha wizi nchi hii kilipo,tokea ukiwa mdogo unaelewa kuwa uongozi unapatikana kwa kutoa rushwa tu so tafuta fedha kwa njia zozote zile ili upate madaraka
  10. U

    Ushauri kwa NECTA: Usimamizi wa mitihani kwa shule za Sekondari na Msingi

    Utaratibu huo uendelee wizi umepungua sana huko primary,nilisikia kuna semina moja walimu wa primary wanalazimisha kuwa imla inatakiwa kusomwa mara nne,kitu ambacho waseminishaji walipinga na kuagiza imla isomwe kulingana na maelekezo ya mtihani husika badala ya kukalili kuwa lazima iwe mara...
  11. U

    Mnyororo wa thamani uko wapi; Malighafi za Tanzania au bidhaa zinazozalishwa Kenya?

    Mkuu imeeleweka,watanzania wengi bongolala,wavivu,zube,unashangaa baadhi humu wanakosoa vitu vya kijinga mara lugha,eti weka summary,badala ya kusoma na kuelewa msingi wa hoja ya mtoa mada,watanzania tubadilike lazima tuwe na focus yetu kama taifa badala ya kuwa wapiga sifa tu
  12. U

    Kwenye kauli hizi chache za Rais akiwaapisha Mawaziri watatu wateule, kosa la Balozi Mulamula ni insubordination?

    Huyu mama nchi imemshinda,sijui sera yake ni ipi kwa sasa tunaenda enda kama vipofu
Back
Top Bottom