Binti Kadogoo,umesema jambo zuri.
Lakini ukikuta glass duka fulani mtu anauza kwa shg 10, mtu mwingine anauza kwa shg 12,si unamshauri uliyekuta anataka kununua kuwa linganisha na duka lile pale, wanaziuza hizo kwa shg 5,ila sijui kama kudumu,zimetumika vipi au zote hazina matatizo-hayo fanya...