Recent content by tzcountry I love

  1. T

    JamiiForums Tanzania Mbowe uko nyuma ya sakata la Lengai Sabaya

    Mavi ni huyo Sabaya!
  2. T

    JamiiForums Tanzania January Makamba, marafiki zako ndio maadui zako

    Hivi Tanzania hakuna wazalendo wa kweli? Wakina Kinana na Baba Makamba leo wanaongea kwa sababu tu wao wamesemwa! Je alipopigwa risasi Lissu katika makazi ya Bunge, aliponyimwa matibabu, alipofukuzwa ubunge kwa hila, watu wanapotekwa,watu wanapouawa, watu wanapopotea, kati ya viongozi wote...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Hivi Mama kakubali kubadilishiwa mtu au anaburuzwa tuu!

    Tumlaumu Nyerere kwa katiba hii siyo mwingine
  4. T

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli atengua uteuzi wa January Makamba kuwa Waziri wa Mazingira; yeye asema ameyapokea mabadiliko kwa moyo mweupe

    Huyu Cleverbright namwambia kuwa ukiwa clever siyo lazima uwe bright. Maelezo yako yamenitatanisha idogo.Hii ina maana kuwa mtu anateuliwa kwa ajili ya uhusuano na mzazi tu ama ni uwezo wake kama mtu? Mimi nilimwona January kama moja wa vijana hodari sana wenye potential ya kufika mbali kama...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli atengua uteuzi wa January Makamba kuwa Waziri wa Mazingira; yeye asema ameyapokea mabadiliko kwa moyo mweupe

    Je Bashe sasa unasemaje kuhusu utekaji wa watu baada ya kuwa waziri?
  6. T

    JamiiForums Tanzania Wanaohujumu juhudi za Mh. Rais walianza kipindi cha kampeni !!

    Kwani sasa hivi tunapata faida gani kwa kuzuia bunge kuonwa na wananchi wakati hela nyingi zinapotea katika election za kejeli!
  7. T

    JamiiForums Tanzania Waraka wa Makamba, Kinana siri nje nje

    Mleta mada weka na simu yako ili uwe DC.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Majeshi yanasimama uimara wake ili kulinda maslahi mapana ya CCM

    Vipi mawazo ya Nyerere kuwa Ni "Jeshi la wananchi wa Tanzania" Wananchi wamekuwa ccm? Vipi sisi tusio na vyama ama walio vyama vingine? Lol! Hatari sana!
  9. T

    JamiiForums Tanzania Masikini Job Yustino Ndugai, Nyakati zimetimia

    Karma!
  10. T

    JamiiForums Tanzania Lugola: Polisi kamateni wote wanaofeki kutekwa ili kupata umaarufu na wanaosambaza taarifa hizo

    Lugola hana huruma kabusa na wananchi wanaotekwa na kuumizwa ama kuuwa. Shame on him. Kama ameshindwa kukamata wasiojulikana atWezaje kukamata wanaojiteka???
  11. T

    JamiiForums Tanzania Tumevamiwa na askari polisi kwenye ukumbi wa semina ya kuwajengea uwezo Bawacha kanda ya Serengeti

    Hii ni hatari kwa nchi yetu! Maccm acheni uzembe. Watu wawe huru kuchagua chama.
  12. T

    JamiiForums Tanzania GE2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

    Kenya keo wanaheshimiana kwa kuwa walionja machungu. Labda ccm wanataka tuonje machumgu ndiyo maana uchokozi umezidi kwa wanasiasa wenzao! Ni hatari sana hii. Tz imepoteza heshima yake kwa kuwa tu wachache wanataka kuhodhi madaraka!
Back
Top Bottom