Akiwa Chuo Kikuu Dar es salaam,Dk Bashiru alipika wasomi wa kutukuka,baada ya kujiunga CCM, aibua vijana kama Musiba

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
11,996
20,644
Wasomi wetu wana vipaji vingi

Wakati akiwa chuo kikuu cha DSM, Dk Bashiru Ali alichukuliwa na Dk Bana( wote wahaya wa Bukoba) wakawa karibu,japo Dk Bashiru alikuwa na uwezo wa kawaida,lakini,kama idara hapo chuo kikuu, tuliamua tuache mtu wa kwetu,tumpike,tumsaidie,hasa ukichukulia kwamba kipindi hicho mwenye maksi za juu ndiye alipewa udhamini wa kusoma masters degree, ilikuwa lazima uwezeshaji uwepo katika academic staff ili wa -omukyaro tuliyemchagua apate skolaship afanikiwe

Hakika alichapa Kazi,na vijana wengi wametapakaa serikalini na walipita kwake.

Tukajua kwamba baada ya uteuzi,angesuka kada ya watumishi wa chama walioiva(kama wale wa chuo kikuu aliokuwa akiwapika,si unajua mtendaji dokta,atasuka timu ya chama inayomfanana ili wakitetee chama kisomi na kisasa)

Lahaula,kaingia tu,musiba huyo,

Ndugu yetu dk anakwama wapi ? Hajui chama kinahitaji viongozi watakaoandaliwa kushika nyadhfa kwa miaka kadhaa mbele? Sasa ndio akina Musiba? Mbona hatuoni weledi wake kupitia safu ya watendaji wa chama?

Nagoba
 
Kina Musiba mbona ni marudio tu. Kipindi anaongea huyu Bashiru hakuwa katibu mkuu.
 

Attachments

  • c4e0682fc1fe05067d3372cdeea4c26c.mp4
    7.1 MB
Wasomi wetu wana vipaji vingi

Wakati akiwa chuo kikuu cha DSM, Dk Bashiru Ali alichukuliwa na Dk Bana( wote wahaya wa Bukoba) wakawa karibu,japo Dk Bashiru alikuwa na uwezo wa kawaida,lakini,kama idara hapo chuo kikuu, tuliamua tuache mtu wa kwetu,tumpike,tumsaidie,hasa ukichukulia kwamba kipindi hicho mwenye maksi za juu ndiye alipewa udhamini wa kusoma masters degree, ilikuwa lazima uwezeshaji uwepo katika academic staff ili wa -omukyaro tuliyemchagua apate skolaship afanikiwe

Hakika alichapa Kazi,na vijana wengi wametapakaa serikalini na walipita kwake.

Tukajua kwamba baada ya uteuzi,angesuka kada ya watumishi wa chama walioiva(kama wale wa chuo kikuu aliokuwa akiwapika,si unajua mtendaji dokta,atasuka timu ya chama inayomfanana ili wakitetee chama kisomi na kisasa)

Lahaula,kaingia tu,musiba huyo,

Ndugu yetu dk anakwama wapi ? Hajui chama kinahitaji viongozi watakaoandaliwa kushika nyadhfa kwa miaka kadhaa mbele? Sasa ndio akina Musiba? Mbona hatuoni weledi wake kupitia safu ya watendaji wa chama?

Nagoba
Dr bashiru sio muhaya.

Dr Bashiru masterz hajasoma nje.

Dr Bashiru katika kufundisha anauwezo mkubwa kuliko Bana.

Ova!
 
Miongoni mwa 'wasomi' wetu wengi waliotoka jalalani, Dk. Bashiru anajitahidi sana na kila anapotaka kujidhihirisha yeye kama yeye kuna mkono nyuma unamvuta shati na kumnong'oneza "...nilikuambiaje!! iiiih", hapo ndipo Bashiru anapolazimika kutumia akili za kuambiwa na hatimae "kuonesha udhaifu fulani"
 
Maneno uliyosema hapo ni makubwa na ya kushtahili kufanyiwa kazi na vyombo vya uchunguzi. Chuo kikuu kuna kuajiriana, kupeana maksi kiukabila ili schorship zitoke?

Sasa naanza kuwaelewa wahaya.

Mzumbe ni ushahidi tosha.
Ahsante.
 
Hivi unadhani kutembelea V8 wenzako hawapendi? Mwacheni dokta aenjoi matunda ya chama, package ya mshahara na marupurupu ni makubwa kuliko aliyokuwa anapata chuo kikuu. Lazima acheze mdundo wa ngoma anayopigiwa 😄😄
 
Maneno uliyosema hapo ni makubwa na ya kushtahili kufanyiwa kazi na vyombo vya uchunguzi. Chuo kikuu kuna kuajiriana, kupeana maksi kiukabila ili schorship zitoke?

Sasa naanza kuwaelewa wahaya.

Mzumbe ni ushahidi tosha.
Ahsante.
Mkuu hili halihitaji tochi. Waliopitia Kilimnjaro cha mlima wanajua. Ni ukabila, udini na umajimbo kwenda mbele.
 
Wasomi wetu wana vipaji vingi

Wakati akiwa chuo kikuu cha DSM, Dk Bashiru Ali alichukuliwa na Dk Bana( wote wahaya wa Bukoba) wakawa karibu,japo Dk Bashiru alikuwa na uwezo wa kawaida,lakini,kama idara hapo chuo kikuu, tuliamua tuache mtu wa kwetu,tumpike,tumsaidie,hasa ukichukulia kwamba kipindi hicho mwenye maksi za juu ndiye alipewa udhamini wa kusoma masters degree, ilikuwa lazima uwezeshaji uwepo katika academic staff ili wa -omukyaro tuliyemchagua apate skolaship afanikiwe

Hakika alichapa Kazi,na vijana wengi wametapakaa serikalini na walipita kwake.

Tukajua kwamba baada ya uteuzi,angesuka kada ya watumishi wa chama walioiva(kama wale wa chuo kikuu aliokuwa akiwapika,si unajua mtendaji dokta,atasuka timu ya chama inayomfanana ili wakitetee chama kisomi na kisasa)

Lahaula,kaingia tu,musiba huyo,

Ndugu yetu dk anakwama wapi ? Hajui chama kinahitaji viongozi watakaoandaliwa kushika nyadhfa kwa miaka kadhaa mbele? Sasa ndio akina Musiba? Mbona hatuoni weledi wake kupitia safu ya watendaji wa chama?

Nagoba
Mkuu hiyo ndio CCM na mtu yeyote mweledi akifika huo lazima avae AKILICCM wala msimlaumu maana wanaamini kule walikotoka ni jalalani...
 
Maneno uliyosema hapo ni makubwa na ya kushtahili kufanyiwa kazi na vyombo vya uchunguzi. Chuo kikuu kuna kuajiriana, kupeana maksi kiukabila ili schorship zitoke?

Sasa naanza kuwaelewa wahaya.

Mzumbe ni ushahidi tosha.
Ahsante.
Nini kimewasha Rawasha? Kukurupuka au reasoning capacity ndipo imeishia! Maneno makubwa yanayostahili kuchunguzwa. Tuhuma zinabaki tuhuma. Uchunguzi hautoshi kumtia hatiani mtuhumiwa. Huo ni mwanzo tu wa safari ya kuhakikisha haki inatendeka. Swali lako la mshangao unalijibu mwenyewe. Bila kusubiri hata ripoti ya uchunguzi unawatia hatiani na kuwahukumu. Sasa unaanza kuwaelewa wahaya! Umeelewa vipi? Na ni ushahidi gani wa Mzumbe? Kwani wahaya hawasomi, wanapeana tu maksi? Badala ya kujadili Bana na Bashiru unaparamia kabila. Huo sasa ndio ukabila. Si ajabu ukakuta Bana na Bashiru si wahaya. Fikra zako za ukabila zinakufanya zumbukuku. Fikiri kabla ya kukurupuka kuparamia mambo usoyajua. Bangi la Arusha/Njombe lawasha. Acha hizo.
 
Write your reply...unapokuwa na akili kuliko anayekupangia majukumu ndio hapo utendaji wako unakufanya uonekane huwezi.
 
Back
Top Bottom