Recent content by TZ TUSIANGAMIE

  1. T

    Mbunge mwenye elimu ndogo kuliko wote Tanzania

    Aeshi ( sumbawanga mjini) alifukuzwa shule akiwa kidato cha pili
  2. T

    Dr. Masaburi amkana Lowassa, ataja sifa za Pinda kama Rais ajaye

    Nakupa big up Masaburi... Pinda ndie mtu pekee ndani ya ccm mwenye sifa ya kuwa mrithi wa jk Kama Rais wa jamhuri ya muungano wa TAnzani...
  3. T

    Lowassa: Kwa kupitishwa sababu hizi kamati kuu (CC), May 2015 nagombea urais wa JMT

    Vijana hacheni kutumika kwa njaa zenu tafuteni kazi halali za kufanya.. Sasa Lowassa Yule mgonjwa anatetemeka Kama Muhammad Ali atakuwa na rais wa nchi kweli?? Kwanza ccm wakijiloga kumpa mgonjwa ridhaa kupitia chama chao wajiandae na miZinga 24 baada ya kuapishwa... Hatutakii kurudia uchaguzi...
  4. T

    Membe: Ngeleja ni tishio urais 2015

    Stupid thread
  5. T

    Yaliyojiri Bungeni: Alhamisi, 27 Novemba, 2014 - Mjadala Ripoti ya Tegeta Escrow Account

    Kwa kifupi mwenye macho haambiwi tazama, kutokana na kujikanyaga kwa hoja dhaifu za wapinzani chati ya pinda kwa watanzania imepanda sana na bila Shaka ndie rais wetu mtarajiwa, ni ukweli kwamba aliundiwa Zengwe na wagombea wenzake wa urais ndani ya ccm, big up mtoto wa mkulima
  6. T

    Waliopokea Pesa za Escrow ni Wezi kama Wezi Wengine wa Kuku na Mbuzi Warudishe Haraka Sana!!

    Yaani wewe lemutuz ndio wa kumponda pinda Leo?? Hakuna kiongozi yoyote makini na mzalendo katika nchi hii Kama pinda....labda utuambie pesa ipi ilikwenda kwa pinda
  7. T

    ESCROW scandal: Pinda apata watetezi

    Pinda ndio Tunu ya taifa hili kwa uzalendo na kuichukia rushwa... Hakuna mfano wake.
  8. T

    Miraj Kikwete: Mimi na dada yangu Salama hatumiliki Kampuni ya Simba trust

    Katika nchi iliyo jaa wanafiki duniani nadhani sisi Tanzania tunaongoza,watu majunguuu tuu wakiamka mpaka wakienda lala..yericko huyu anasifa ya ziada mwenzetu kajaliwa majungu, fitina, uchonganishi na kutunga maneno... Bahati mbaya tuu ile twaweza nayo Lowassa ana hisa Ila kungekuwa na shirika...
  9. T

    Baraza Kuu la UVCCM lamkataa Mizengo Kayanza Peter Pinda

    Hii Uvccm ya sasa imeshaoza, imejaa wachumia tumboo tuu na watu wanaotaka madaraka...
  10. T

    Lowassa aongea na vyombo vya habari; akataa kugusia suala la Richmond/DOWANS

    Ndg Simiyu,Lowassa anawapambe wengi sana,wengi wao pia ni waliberaliii na wengi wao wanafikiria kwa kutumia masogange.....acha wafu waZikane, baada ya kura za maoni Dodoma nadhani hata wiki haifiki tutakutana monduli( Kama sio juhudi zakeeeeee babaaaaa)
  11. T

    Rais Kikwete alikataa kuambatana na Edward Lowassa nchini China na Vietnam!

    Aende china tenaa?Edward Lo-Sata Yuko matibabu ujerumani.... Hali dhoofu hali, Yuko service anarekebisha mwili kwa maandalizi ya kuongoza nchi inayoitwa KUSADIKIKA..... Tumeshtuka hatutakii mizinga 21.... Baaaaaaassss!!
  12. T

    Lowassa aongea na vyombo vya habari; akataa kugusia suala la Richmond/DOWANS

    Anaitwa Edward Lo-Sata.... Mutu gonjwaaaa sana....huyu atakuwa rais wa nchi ya kusadikika...kapania sana urais tatizo lake,waswahili wanasema mkamia maji hayanywiiii, Amini maneno yangu hatoyanywa kamweee
  13. T

    Lowassa anaidharau kamati ya Mangula

    Oooooh sorry, jina lake jipya ni Edward Lo-Sata...!!
  14. T

    Lowassa anaidharau kamati ya Mangula

    @ jojipoji,Nimechagua na kupiga kura mkutano mkuu wa taifa kuanzia Wakati wa mkapa, nimekuwa Mpiga kura Wakati wa jk pia,nadhani Jambo Hilo wewe ulikuwa unalisikia tuu au kusoma kwenye magazeti, huwezi kufananisha maneno ya kizushi waliyosema kuhusu jk ya Wakati ule na uhalisia kuhusu Lowassa...
  15. T

    Zijue sababu za Benjamin Mkapa kumuunga mkono Lowassa

    Kuanzia Leo jina lake Rasmi ni Edward Lo-Sata...!!
Back
Top Bottom