Huyu nashauri akae hata miaka 3 ili iwe fundisho maana kwa umri wake na mambo aliyofanyia raia ni hujuma nzito na mbaya sana kwa kundi la vijana hasa walio katika utumishi wa umma.
Hata mimi huyu mwamba simuelewi,hivi inakuingia akilini kuwa koelekea hakuna uhakika wa maisha anakuja mtu kukuokoa unasema acha nife,wewe utakuwa huna ndugu wala mwanao ambaye yuko huko kunakolipuka mabomu.
Kwa akili yako hata leo mbowe baada ya kuachiwa huru na wenzake angekatalia gerezani...
Mimi nilikuwa nawaza kama wewe, nikafikiria sana mwisho nikaona hivi haya yote yanayotokea huenda ni kwa sababu ya huu uhuru wa vyombo vya habari na vyanzo mbali mbali kama mitandao ya kijamii vimechagiza haya yote tunayoyashuhudia leo na jana yaonekane na yafahamike?
Nikaenda mbali zaidi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.