Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,286
- 10,667
Herufi O na I Huwa sizioniKwa sasa tupo DQ mbona sion DO ililukwa au kuna technical ishu hapa tujuzeni wadau hapa
Herufi O na I Huwa sizioniKwa sasa tupo DQ mbona sion DO ililukwa au kuna technical ishu hapa tujuzeni wadau hapa
Una maana gani kusema DAB?
Kama wanasema series moja ni magari Mia 999 Basi hapo D kuna magari mengi mno.form 4 kuna topic ya probability,
n!, mkali wa probability fanya hapa hesabu tujue D, yanapaswa kiwa mangapi!
Mkuu tarakimu zipo tatu tu nadhani ulimaanisha 999DAA
Hapo kwenye A ya kwanza lazima magari yafikie 9999 ndiyo no ishift kuwa DAB
Kwenye B lazima magari yafikie 9999 ndiyo ishift kuea DAC mfano gari yangu ni DDW 275 mpaka ilipo hapo ilihitaji mgari mengi sana yasajiliwe...ndiyo maana sasa hivi nafikiri tupo kwenye DM....
Kama kwenye herufi moja kuna magari 899 Basi ili tuhame D inabidi magari 24×24×899=517824 yaingizwe ndo tutahamia EKuna jamaa anasema zinaanza Na 101 na sio magar 999 tena bali mi 899 kwq maaana ya 1000 toa 101 ambayo ndo namba wanaanza nayo na kweli sjawahi ona gani inaa namba 001 au 002 au 010 au 089 au 099 labda kama kuna mwenye ushahidi aweke hapa picha tuone.
Tuko DP mkuuuuDAA
Hapo kwenye A ya kwanza lazima magari yafikie 9999 ndiyo no ishift kuwa DAB
Kwenye B lazima magari yafikie 9999 ndiyo ishift kuea DAC mfano gari yangu ni DDW 275 mpaka ilipo hapo ilihitaji mgari mengi sana yasajiliwe...ndiyo maana sasa hivi nafikiri tupo kwenye DM....
Kila herufi ni Magari 899
Kwenye herufi O na I hazipo sababu zinaingiliana na 0 na 1 hivyo kwa kila A hadi Z ziko 24 ambayo hufanya jumla ya magari kwenye A kuwa 21576
Hapo ni DAA hadi DAZ
Tukija kwenye DBAhadi DBZ nayo ni 21576
Ukizidisha kwa 24 ambayo ni Herufi ya 3 Unapata Magari 517824
Hivyo Complete ya DAA hadi DZZ itakuwa na Magari 517824
Jumla ya Magari Tanzania haizidi 2Mil kwa Magari Binafsi
Pikipiki na Bajaj zishazidi 1.3Mil maana zenyewe zimekamilisha A hadi sasa ziko C bila ingiliwa kama Magari yalivyoingiliwa....
Kuna uwezekano Mkubwa sana Pikipiki zikazidi Magari Miaka 5 ijayo
Ila DQ imechelewa sana maana yake gari zenye namba Q hazijafika 20000
Good...
Nimekuelewa saana ila kuna tetesi kuwa kwa mfano number dqr 206 izo ni namaba wanazitoa kwa ajili ya magari yenye CC flani... Then dqr iyo iyo kuanzia 500 pia ni magari ya cc ingine... Ni kweli hii mkuu.
Kamba unaweza ikuta scania ina dqz alafu ya muda tu.
Aise! STL Imetokea STG,STH,STJ,STK,STL.....Ikifika 9999 itaanza STM
Duh... Tumepaa chap chap aisee..Kwa sasa tupo DQT
Probability haiwi hivyo, hii ni permutation Mkuuform 4 kuna topic ya probability,
n!, mkali wa probability fanya hapa hesabu tujue D, yanapaswa kiwa mangapi!
STM INAMANISHA NINI?We jamaa hivipunde umenichekesha.
Ipo hivi, hayo magari ya serikali si kwamba yamefika usajili wa STL bali ni hivi
STL _secta na taasisi za lazima
STK_Sekta na taasisi za kiserikali
DFP_ Donor funded projects
SU_Shirika la umma
SM_serikali za mitaaa
N.k
Mkuu ulichemka sana kuhusu STL.We jamaa hivipunde umenichekesha.
Ipo hivi, hayo magari ya serikali si kwamba yamefika usajili wa STL bali ni hivi
STL _secta na taasisi za lazima
STK_Sekta na taasisi za kiserikali
DFP_ Donor funded projects
SU_Shirika la umma
SM_serikali za mitaaa
N.k
Juzi nimeona STM haya unasemajeMkuu ulichemka sana kuhusu STL.
STLna STK are the same.