Recent content by tyudy

  1. T

    JAMANI NAOMBA MSAADA

    Thanks kwa muliotoa ushauri ushauli wenu mzuri but it's to what can be a solution to me thanks too
  2. T

    JAMANI NAOMBA MSAADA

    Hilo nalijua Sana kaka lazima nichambue lipi la kunijenga na lipi la kutonijenga Kwa swala la kumpiga huwa akikuta ni kama nimechukia utasikia ukinipiga tu namwambia bosi wako tuone Kama utaendelea na kazi na ni kweli nikithubutu kumpiga akienda kwa bosi lazima nishitakiwe na kuweka tabia...
  3. T

    JAMANI NAOMBA MSAADA

    Mwaka mmoja sasa sikuwahi kuwa na tabia ya wanawake nje maana tuliwekeana ahadi tangu mwaka 2014 tulivyomaliza form four akaenda chuo cha nursing nami nikaenda form five nilipomaliza form six tukaanza harakati za kuishi pamoja na mpaka sasa ndiyo tuna mwaka mmoja na hiyo tabia sikuwa nayo
  4. T

    JAMANI NAOMBA MSAADA

    Kwa ujauzito hana labda hilo Kimjazacho mtu ndicho kimutokacho nimekuwa nikimwambia mara kwa mara kwamba au unapenda kutoka wanaume wengine maana huwezi ukawa unaniambia nina tabia mbaya na wakafikisha sioni nina tabia gani mbaya
  5. T

    JAMANI NAOMBA MSAADA

    Hakuna nilichobadilika ndiyo namuuliza hanijibu lolote namnyanyasaje na pia nina tabia gani
  6. T

    JAMANI NAOMBA MSAADA

    Pouwa nitalifanyia kazi
  7. T

    Natafuta mchumba awe mweusi tiiii!!

    Mmmmh
  8. T

    JAMANI NAOMBA MSAADA

    Nimeoa Nina mke na nina mpenda kila kitu nampa na isitoshe mshahara wangu ukitoka huwa namwambia na tunapanga bajeti yetu tunaenda wote Bank kutoa hela na ananiambia chukua na rist nachukua Lakini cha kushangaza ameanza tabia ya kunisingizia na maneno ya kwamba namnyanyasa na nina tabia mbaya...
Back
Top Bottom