Recent content by Tyler Durden

  1. Tyler Durden

    Njoo nikuuzie jiko complete bei chee

    Fanya 90 nichukue?
  2. Tyler Durden

    Kwanini Moshi na Dar kuna viwango sawa vya joto?

    Maybe Volcano inachemka chini Kwa chini
  3. Tyler Durden

    Chochote kizuri nikimhusisha mama kinakufa

    Hii inatokea niliwahi kufanya interview N.G.O Moja nikafanyiwa hadi orientation utambulisho n k. Kuna watu nilivyowapa taarifa tu nikatemwa.
  4. Tyler Durden

    Chochote kizuri nikimhusisha mama kinakufa

    Hii mada imenifikirisha sana ngoja nichukue hatua!
  5. Tyler Durden

    Natafuta maranda ya mbao Dar es Salaam au Pwani

    Mkuu nenda tegeta Kwa ndevu utayapata ya kutosha
  6. Tyler Durden

    Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

    Ungejaribu kwenye bakeries hasa zile kubwa kubwa..au nenda mitaa ya wahindi
  7. Tyler Durden

    Natafuta mwalimu wa boxing

    Anzia kwanza YouTube wakati ukiendelea kusubiria mwalimu.....utajifunza sheria zote.
  8. Tyler Durden

    INAUZWA Desktop Hard Disk gb 500 bei ya kutupa

    Hiyo bei ni Kwa mteja wa jumla atayeweza kuchukua mzigo wote
  9. Tyler Durden

    INAUZWA Desktop Hard Disk gb 500 bei ya kutupa

    Napatikana Tegeta wazo hill....
  10. Tyler Durden

    INAUZWA Desktop Hard Disk gb 500 bei ya kutupa

    Picha kama unavyoziona hapo
  11. Tyler Durden

    INAUZWA Desktop Hard Disk gb 500 bei ya kutupa

    Habari wana JF, Nina mzigo wa hizi kitu nauza bei ya jumla, zipo 25 Kila moja inaenda 10,000...tu. Mzigo upo Dar es Salaam. Kama upo interested nicheki 0783350399.
  12. Tyler Durden

    Am looking for any Part time job in Moshi Kilimanjaro

    Mfumo wa ajira bongo hausapoti kazi za masaa kama Kwa wenzetu ....hapa lazima uanze saa 2 hadi saa kumi jioni ...
  13. Tyler Durden

    Nimepata Barua ya uhamisho ndani ya miaka 2 kazini

    Ajira ni aina fulani ya utumwa....mtu kakaa tu huko anaamua kukubdilishia mwelekeo wa maisha bila kujali umeinvest nini eneo ulipo....mali, friendships, relationships, biashara n.k.
  14. Tyler Durden

    Je, Mayai ya kuchemsha yananenepesha?

    Usiguse SUKARI kabisa nasisitiza usiguse ndani ya mwezi mmoja iwe kwenye chai soda au juice acha sukari...usiguse chakula chochote kilokaangwa kwenye mafuta mengi, kula protini Kwa wingi ikiwemo mayai, karanga n.k. hii itakufanya ujiskie umeshiba muda mwingi hivo utaepuka kutafuna tafuna...
  15. Tyler Durden

    SoC02 Mambo yanayopaswa kuongezwa kwenye mitaala ya shule zetu

    Ni ukweli usiopingika kuwa mfumo wetu wa elimu unapumulia mashine kwa sasa. Mazao yanayozalishwa na mfumo huu yamedoda sokoni, Hali si Hali, ni muda sahihi sasa wa kufanya mabadiliko. Mfumo wa sasa Tunafundishwa mambo mengi yasiyo na tija kwa sasa,tena kwa lugha tusiyoimudu. Tunafundishwa...
Back
Top Bottom