Yaani mtu aliyekaa Ikulu for 10 years aogopwe kusemwa
Ingekuwa kusemwa vibaya kunatoboa utumbo basi angeshatoboka tangu akiwa waziri wa fedha
Kama wewe unamsema vibaya basi jua kuna watu wengi tu wanamsema vizuri na kumnenea yaliyo mema
Kama huna hoja piga kimya
Sasa kwa Starz hii ya wachezaji tulionao unatarajia tuchukue Kombe gani.. CHAN Afcon au World Cup..!??
Starz ishafundishwa na makocha wa kila aina na hakuna hata mmoja aliyetupa mafanikio haya aliyofikia Hemed Moroco..!!
Hakuna Kocha anafukuzwa kisa uteuzi wa wachezaji,
Kocha anaondolewa kutokana na perfomance mbovu
Mpaka sasa hakuna Kocha aliyetupa mafanikio Starz kama Hemed Morocco,
Tuwe wakweli, tuache unafiki na husda.
1. Chini ya Hemed tumeweza kufika robo fainali CHAN kwa mara ya kwanza na isivyo...
Ukiwa katika ajira una lenga kupata mshiko,
Ukiwa umejiajiri una lenga kupata mshiko,
Na kote unaweza kupata maisha mazuri tu ya hadhi yake
Ila when it comes to utajiri, penye fursa ya kupata utajiri ni kwenye biashara
Na angle ya biashara unaweza kuifanya hata ukiwa umeajiriwa, ukawa na...
Mzize ni tofauti na kina Aziz na Chama ambao wameenda arabuni age ishasonga,
Mzize yeye bado ana umri mdogo wa kuendelea kujengeka na kuimarika
Hivyo fursa ya kwenda nje ya nchi ingemuimarisha sana ktk career yake kisoka na kimaslahi
Angalia kina Samatta, Msuva, Kelvin John, Novatus Dismas...
Lab
Azam Labda wakasumbue shirikisho huko Caf, ila sio ligi ya bongo ambapo hawa mapacha wawili wanabebwa sana na marefa kwa makosa ya kibinadamu
Ingekuwa ligi yetu ipo fair ktk maamuzi ya marefa, basi Azam na Singida wangekuwa Title contenders wazuri tu
Daah
Inaonekana wazi umesoma ila elimu bado haijakukomboa kifikra
Hivi kweli Unazungumzia kusomesha mtoto shule alafu utegemezi pekee wa ajira uwe ni Serikalini..!??
Hivi unajua utajiri wa rasilimali tulionao Watanzania ktk nchi yetu kuanzia watu, ardhi, mazao, vivutio vya utalii, mabwawa...
Cha ajabu hapo ni kipi sasa..!??
Ilhali wabunge wa Upinzani ndio wameanzisha hio hoja ya kumtaka Rutto afike mbele ya Bunge lao.
Nina uhakika Rutto hatofika bungeni kwasbb watoa hoja ni wapinzani na ni minority compared to ruling party MPs
Mbona huku enzi za Marehemu Samwel Sitta kina Zitto...
Simba imemsajili Selemani Mwalimu sio Salimu
Pia ndoto ya mchezaji yoyote yule ni kucheza Vilabu vikubwa au vyenye malisho bora iwe África au nje ya Africa
Mzize anatakiwa aachane na Vilabu vidogo vidogo atafute malisho mapya kwenye timu kubwa zilizo hata top10 ya Vilabu bora África
Selemani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.