Habar zenu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nataka ni skip mwezi ujao nisione period kabisa,dawa gani inafaa kumeza? Au nitumie kitu gani hata natural ambacho kitafanya ni skip mp?
Karibuni .
Dah!ila kama kweli kazaa na daimond hamisa ni wale wanawake nyoka kabisa hafai hata kumsogelea,alichofanya sio kumkomoa bali ni kuumiza nafsi ya daimond,na hakuna mwanaume anayekubali kushindwa yatamtokea pua.
Nampenda sna zari,kama mwanamke nimeumizw sana jamani mwanaume anauma haswa...
Na zari alivyo yule atakomaa mpka kieleweke,ila mimi sidhani kama yule n mtoto wa daimond shilawadu hao wakina suddy ndio wanayakuza n wanatafuta sababu tu ili wapate cha kusema maan,na hamisa amewakomesha sana amekaa kiya na akae hivyohvyo anayetaka picha atoe pesa..baba mtoto sijui...
Hii imesaidia sana matusi kupunguzwa kwenye ule mtandao,looh!!maisha ya mtu watu wanataka wapange,sio kwa zari tu hata kwa wema na kila msanii,nimefurahi kabisa,waache kumpost na kila mtu apost mambo yake.
Bora maana walikua hawaendani kabisaaaaA....yaani nimefurahi sanaaa....vanesa utapata size yako mama mtakao fit...sio jux...yaan mlikua hampendezi kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.