Samahani jamani naulizia kitu ambacho hakiendani na mada, hivi huyu Benson Kigaila si yule ambae mke wake ni miongoni mwa wale tunaowaita COVID 19!? Nijibuni then nitasema kitu kwa manufaa ya wengi.
Tiss waingie kazini sasa washapewa hints..mama kaongea vizuri kweli katoa taadhali 2024,2025 vyombo vya ulinzi na usalama viwe makini kweli na kujiandaa kwa lolote...
Labda Kama akina mbowe ambao wao tauari wanapesa sohuwezi kuwabadilisha kwa vipande 12 vya fedha..ila wengine ukifika tu bei wanasaliti kambi japo si vibaya Sana kwasababu nao wanamaisha inabidi yaendelee plus majukumu...mfano Mtatiro,Zitto, Nassari,Mdee na wenzake, na wengine wengi
Katumia Haki yake ya kikatiba sioni tatizo..shida inakuja baadhi wanapoanza kumtukana na kumpa majina kibao wakati huohuo ccm wakihamia huko mnawapongeza na kuwasifia wakati wote hao wanatimiza wajibu wao kikatiba wa kujiunga na chama chochote Cha kisiasa..
Mjomba anadhani atatawala milele amesahau umri unaenda atawaachaje vijukuu vyake watoto wake wataishije!? Juzi nasikia amezidi kujiimarisha kijeshi kwa kuunda kikosi maalumu cha special ops yote hiyo kuwatisha wakosoaji wake..mjomba nna mengi ya kukuandikia kwa Leo naishia hapa..
Kweli ccm hamnazo unaringanisha tz na marekeni ambazo zina well and the most sophiscated system za kiulinzi halafu huko ulikokutaja hawajamuachia mwarabu amiliki %100 bila kuulizwa..
Mnyonge mnyongeni haki yake tumpe JPM kwenye rasilimali alijitahidi sana kwenye madini aliongeza umiliki Wa govt kutoka %10 mpaka %16 na hapo hatujawekeza pesa zetu %100 uwekezaji Wa pesa ni wao but kwenye hili La bandari tayari govt imewekeza trillion of money anakuja mjinga mmoja anasema...
Kuna tetesi wafanyakazi Wa bandari(wale waajiriwa) wameambia wachague kubaki kwa mwarabu au wapelekwe serikali kuu daaah!! Tz my country nn kinakupata!!
Zito alikua haaminiki !? Kutokuaminika kwa Zitto kuna uhusiano gani na kunyofoa kioengele cha ukomo wa mwenyekiti....na hayo Ndo maneno waliolishwa wanaCDM Kipindi kile ili tu kumuondoa zito na mwenyekiti aendelee milele..na wakafika mbali wakanyofoa kipengele cha ukomo Wa mwenyekiti..
Pasko kakosea nn sasa hapo yeye kamsifia lissu kua mkweli kuhusu mwwnyekiti Wa maisha mwamba ni kweli kipengele kiliondolewa ili tu mbowe aendelee na walifanya hivo ili kuua Fikra kama za kina Zitto kabwe za kuutamani uenyekiti
Kiukweli leo ndo najua chadema Wana viongozi Wa Maisha haijawahi kutajwa hii kwamba waliondoa kipengele cha ukomo Wa viongozi wao nadhani hapa mlengwa alikua ni mweneyekiti mbowe aendelee kusalia kwenye kiti kwa kisingizio hawana mtu wa kushika wadhfa huo inasikitisha na kufikirisha sana nadhani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.