LEMA:
Kikao kilichomuweka naibu Meya madarakani hakikuwa halalli kwani hakikuwa na taarifa ya siku 7 kueleza kuwa kungekuwa na uchaguzi na hata mallah (Naibu Meya) hakuwa na barua ya utambulisho toka kwenye chama.
CHANG'A:(Mkurugenzi wa jiji la Arusha)
Uchaguzi ulifanyika kihalali na barua ya...
Kwa Imani yangu nilijua watu wanaochambua siasa hasa matukio yanaendelea kujitokeza kuhusu mambo yasiyofurahisha ndani ya CCM ni watu wanaopenda mstakabali wa nchi yetu uende vizuri kumbe ni ile ya kipendacho roho ula nyama mbichi ile dogo la umeya wa Arusha mnashindwa kulijadili kwa kina...
itakuwa ajabu sna kumshangaa kumshangaa Mbowe kusita kuchukua posho naamini anasimamia imani yake c km wakina Zitto wanasema hawataki ili hali roho zinawauma.
Sasa hali mbaya km kila kinachooandikwa ni
nape, siasa ya nchi hii imekuwa ni Nape naaza kuingiwa na mashaka labda mti wenye matunda ndio upigwao mawe, tujalibu kujadili mustakabali wa nchi yetu kuliko kujadili jina la mtu tuambie km hp JF tunakampeni ya kumuandika nape au nikuchoka kufikili km...
Ishakuwa kasumba kadi feki zimetengenezwa na CCM ata rushwa katika mikutano imetoka CCM huu sasa ni uvivu wa kufikiri na upofu wa mawazo ivi ni kweli kila jambo baya ya CDM linatoka CCM ila zuri ndio la CDM acheni zile za kipendacho roho naona sasa mnadiliki kura nyama mbichi na mnaona imeiva...
Mi naamini lisemwalo lipo na anepaswa kutoa majibu hayo ni slaa mwenyewe km TRA hatuna imani nayo na tuache ushabiki bila kujali maslahi ya Taifa km Slaa halipi kodi basi ni MWIZI km wezi wengine Dagaa wanalipa kodi yeye Papa anakwepa kama unajua kudai haki jua kutimiza wajibu cc tujifundishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.