Nakumbuka edward snowden alizinguana na mabosi zake kisa kuingilia faragha za watu ilihali wakijinasibu ni wana democrasia na wafuata katiba lakini waaapi bwana , kwa maslahi ya taifa usalama kwanza hayo ya faragha baadae , mungu ibariki Tanzania , mungu mbariki raisi magufuli , go magufuli go...
Huu ndo ukweli mchungu as long as upo kwenye sayari ya dunia hata ujifiche wapi utajulikana tu , kuna siku nilisoma article flan ya mambo ya mtandao na hii ilikuja baada ya melo kuhojiwa eatv akaelezea nami nikaenda kuchimba zaidi mh niliogopa
Na mimi twitter9 niko humu jf lakini twitter pia nipo kwa sababu yote ni mitandao ambayo watu wanapaza sauti kama ambavyo melo yuko jf na pia yuko twitter
Sio
Sio kwamba napiga chapuo ufutwe lahasha ila naona wamekuvumilia maana huwa zikiletwa nyuzi kama hizi zenye ukweli utashangaa zimeblockiwa hazifunguki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.