NIMERUDIA kuisikiliza Hotuba ya Mheshimiwa Freeman Mbowe, Mara kadhaa. Hii ni hotuba inaweza kudumu kwa muda mrefu sana kama rejea sahihi ya maamuzi sahihi yaliyowahi kufanywa na CHADEMA, tangu mfumo huu wa vyama vingi uanze.
Hotuba ya Mbowe, ni dawa ya kutibu misuli ya moyo katika siasa...
Mheshimiwa, HONGERA kwa kampeni. Swali: Kwakuwa katiba yetu haitoi fursa ya moja kwa moja katika kukabidhi madaraka kwa Chama kingine tofauti na CCM!
UPI MTIZAMO WAKO JUU YA MGOGORO WA KIKATIBA UNAOWEZA KUJITOKEZA ENDAPO UTACHAGULIWA KUWA RAIS WA NCHI YETU?
MAKALA hii nimeanza kuandika jana, nikiwa kwenye jukwaa la CCM, mjini Musoma.
Mengi nimeyashuhudia kwa macho yangu, lakini kwa nafasi yangu hususan kwenye timu ya kampeni ya mgombea wetu nitajadili machache:
Nimeshuhudia baadhi ya watu muhimu kwenye timu yetu wakifuatilia hotuba za Lissu kwa...
Jina la Tundu Lissu, ndio linalotajwa sana kwa Sasa kuliko Mtazania yeyote hususan kwenye mitandao ya kijamii.
Jina hili linatajwa kwa ubaya na uzuri. Kwa kipindi cha takribani siku mbili mfululizo, Jina la Lisu limeingia kwenye orodha ya majina yanayofuatiliwa sana na watu wengi.
Katika...
MAFURIKO ya Tundu Lisu, yaweza kubadili kanuni za uuwindaji. Yaani, Mbuni kuanzia kumuwinda Tembo. Au sungura kuanzia kumwinda mbwa!
Katika siasa Hakuna jambo linaloweza kutokea kwa bahati mbaya. Matukio yote hupangwa kwa njia za haki au hila! Hupangwa mchana au usiku! Sirini au kwenye Meza...
UCHAGUZI wa mwaka huu unatakuwa ngumu na wenye mvuto mkali. Hii ni sawa na pambano lililosubiriwa kwa muda mrefu.
Mapambano kama haya yakitokea hulazimisha shughuli zingine zisimame ili kupisha mpambano mkali na wenye mvuto.
Hivi ndiyo ninavyoona uchaguzi wa mwaka huu. Siyo uchaguzi wa CCM VS...
TUNDU LISSU, huenda akawa ni miongoni mwa wanasiasa wenye bahati kubwa!
Ni mwanasiasa, anayenufaika sana na makosa ya wakubwa! Makosa ya wakubwa kwa kujua au kutokujua, kwa kushauriwa au kutokushauriwa vizuri yameanza kumjenga Tundu Lissu.
Awamu hii ya tano, imejenga marafiki wengi wa kificho...
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimehitimisha mchakato wa kupata mgombea wake wa urais kwa upande wa Zanzibar.
Ni Hussen Ali Hassan Mwinyi. Mwanasiasa mtulivu, mkimya na asiyependa kujikweza.
Zipo tetesi kuwa ukimya wa Hussein Mwinyi, unavuka mipaka ya kawaida. Hata kwenye vikao vya Baraza la...
KIJANA huyu kwa Mara ya mwisho nilikuwa naye pale UDSM. Kipindi hicho wote tulikuwa wanafunzi. Mimi nikiwa engineering, yeye akiwa social sciences.
Kipindi fulani alikuwa anafanyia uchambuzi kwenye magazeti ya MwanaHalisi na Raia mwema.
Huyu KIJANA ndiye alikuwa "Master mind" wa siasa za chuo...
Nimeona mjadala mkali na wa kuvutia ukiendelea kuhusu uhai wa vyama vya upinzani hususan Chadema kuelekea 2020.
Nikiri mapema kuwa, hatuna vyama vya siasa Bali tuna vikundi vinavyopambana na dola. Hata CCM yenyewe ilikwisha acha siku nyingi kuwa Chama cha siasa badala yake uhai wake unategemea...
Tofauti kubwa Kati ya Rais Mstaafu Kikwete na Rais Magufuli ni kwamba JK alikuwa akisema hatendi, na akitenda hasemi! JPM yeye anasema kila kitu, na anatenda kila kitu!
Ukifuatilia hotuba za Mkuu, mambo mawili unabaini: Mosi, unatamani uingilie Kati hotuba yake ili umuokoe au usahihishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.