Katika timu 8 zilizoingia robo fainali ya klabu bingwa Afrika, 2 zimetoka Tanzania! Msimu uliopita Yanga imeingia fainali ya kombe la shirikisho! Huku nako kunafanyika mipango? Kuweni ' siriaz' basi!
Uliiona mechi ya juzi kati ya Man City na Arsenal?? Kila mechi inampango wake kulingana na mpinzani wako na wachezaji ulionao! Aliyepigwa thalatha bin sufuri naona ndiye katolewa ki kike!
Kocha wa Mamelod amekubali kuwa alikamatwa na Yanga, wewe kocha wa Jamiiforums unakoja na porojo huku! Nyie takwimu za mchezo wenu vs Ahyl zimewafikisha wapi??
Na nyie msiache kumkumbuka Tatu Malogo kwenye ufalme wenu!
Uzuri hawa Mamelod mliwapa sifa zote walipopangwa na Yanga! Leo wanasonga mbele kwa mauza uza!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.