BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,712
- 6,519
Timu nyingi hata Simba sidhani kama wamesafari na wachezaji majeruhi kama kipa wao Manula. Ila jiulize Yanga, mtu kama Yaoyao wanasafiri naye ili iweje? Kufanya nini?
Kuna shida pale Yanga, mtu kama Yao yao hata kwenye mazoezi hafanyi ila alienda South Africa, Pacome na Aucho pia Wangebaki Dar es Salaam tu.
Yanga waache showoff za kijinga,
Kuna shida pale Yanga, mtu kama Yao yao hata kwenye mazoezi hafanyi ila alienda South Africa, Pacome na Aucho pia Wangebaki Dar es Salaam tu.
Yanga waache showoff za kijinga,