Kwel kabisa bora star tv ila mm naona tbc kama inanizingua zaid hadi nimeacha hata kuangalia habar zao. Na habar wanajitahid kuzisoma vizur ni zamagamba.
Hapo umenena maana yote yanayotendeka viongozi wetu wanajifanya kama hawayaoni hata nashindwa kuwashangaa nini maana ya kuwa na viongozi? Udini tanzania hii na ukabila ndio vimepamba moto. Baba wa taifa aliyajua hayo ndio maana alijazia sana kuhusu hayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.