Recent content by Twalo frank

  1. T

    Machangudoa wengi wanakaa wapi?

    Nilijua unawahitaji labda maana mpaka kuwaulizia imeonyesha una shida nao tehe tehe.
  2. T

    RFA Songea mmehamia Digitali?

    Ni kwel kuna kamgomo baridi nahisi mambo hayohayo ya mshiko kwamba mkurugenzi wao anawazingua.
  3. T

    TBC na habari za kimataifa

    Kwel kabisa bora star tv ila mm naona tbc kama inanizingua zaid hadi nimeacha hata kuangalia habar zao. Na habar wanajitahid kuzisoma vizur ni zamagamba.
  4. T

    Tray 25 za mayai zimemfikisha hapa mtoto huyu!!!

    Huyo baba kwann asiende kunyea debe kwanza maana nilivyosikia hasira trei za mayai ndio kutaka kutoa roho ya mtoto hv.
  5. T

    Precision bure kabisa, Fast Jet ongezeni ndege Jamani,

    Duh pole sana rafiki maana ninavyokuonea huruma. Waswahili sana hao jamaa.
  6. T

    Kabla sijamaliza Wamekata!

    Kwel hiyo sikuigundua asante kwa kunishtua kumbe wamagamba ndio walivyofanya
  7. T

    Siri ya Coca-Cola yafichuka

    asante kwa hilo ila kwann uandike kichwa cha habar kwa lugha nyingine mada utoe kwa lugha nyingine mkuu?
  8. T

    Pinda alifaa kuwa Waziri wa Mashambani na Si Waziri Mkuu

    Mimi ndio naona kichefuchefu kabisa nashindwa hata kuongea sana.
  9. T

    ITV napendekeza iwe TV ya taifa

    Hata mimi naona Itv haina kificho kwa habari zake kama Tbc inaonekana kama ya chama fulani.
  10. T

    Watanzania chonde chonde tusifike hapa!!!!!

    Hapo umenena maana yote yanayotendeka viongozi wetu wanajifanya kama hawayaoni hata nashindwa kuwashangaa nini maana ya kuwa na viongozi? Udini tanzania hii na ukabila ndio vimepamba moto. Baba wa taifa aliyajua hayo ndio maana alijazia sana kuhusu hayo.
  11. T

    Hiki kipindi cha Ndodi

    Hiyo nahisi haikuwa live
  12. T

    MBEYA mjini wana matatizo gani

    Hapo umenena kwa sababu wa makambako ni mwanamagamba ndio maana hajamsema kamwona mwanamagwanda tu mkuu.
  13. T

    Sabena Bus,yaua!

    Kweli uzembe wa madereva wetu utatumaliza. Ajal ya kizembe kabisa hiyo. Sijui tusafiri na nn?
  14. T

    Waziri Wassira agonga mwamba sakata la uchinjaji nyama Mwanza!

    Kuna tatizo kwani waislam pekeyao ndio binadamu wakristo sio watu?
Back
Top Bottom