Hali mbaya baba maana kesho ijumaa kuu hatujui hata sadaka tutatoa nini baba magufuli ongea na hazina watupe Advance ya ka mshahara huku tukisubiri uhakiki maana tunatembelea choki baba tusaidie hawa watumishi hewa wametuponza wenzao watoto wanadai nguo za sikuu na pale dukani ninapokopaga Leo...
Makamo wa Kwanza wa Rais na Makamo wa Pili wa Rais
39.(1) Kutakuwa na Makamo Wawili wa Rais ambao watajuilikana kama Makamo wa Kwanza wa Rais na Makamo wa Pili wa Rais.
(2) Ndani ya siku saba mara baada ya kushika madaraka, Rais atateua Makamo wa Kwanza wa Rais na Makamo wa Pili wa Rais.
(3)...
Katika Hali ya masikitiko kabisa nianze kwa kusema "Simbachawene hebu itumbue hii Halmashauri "
Haiwezekani mtumishi utimize wajibu ila hupewi haki yaani maafisa wamekuwa miungu watu kabisa mtu umeanza Kazi 2010 lakini hadi Leo kupandishwa daraja tu ni mtihani then ukifuatilia ofisi ya utumishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.