Recent content by Twalangete

  1. T

    Msaada wa kueleweshwa usawa kati ya postgraduate na degree

    Naomba kufahamu usawa uliopo Kati ya postgraduate na degree yaani Kama kunakazi unahitaji kigezo Cha degree alafu Mimi nina postgraduate je naweza kuomba?
  2. T

    Nukuu za kikao

    Naomba kujuzwa zaidi katika nyanja zifuatazo pindi unapoandika nukuu za kikao Lugha ya nyakati gani Mfano wa vipengele gani vyakujumuishwa
  3. T

    Anayefahamu Postgraduate Diploma kwa undani anisaidie

    Naomba kujua Kama nimesoma bachelor ya procurement nataka nisome PGD ya B.ADM. Je napokua na vyeti hivi viwili naweza kutumia hicho Cheri Cha PDG kucompete kuomba kazi kama kigezo ni bachelor..
  4. T

    Msaada wa kisheria

    Nahitaji mwongozo ili niandike barua ambayo itanisaidia kupata haki yangu wadau
  5. T

    Msaada wa kisheria

    Hapana Sina maana hiyo ila natafuta suluhu kwani mkataba unasema vingine na nacholipwa kingine.
  6. T

    Msaada wa kisheria

    Mkataba nimmoja ila hiyo document inaonekana haikwepo kwani nilikuwa nikilipwa nauli ya Iringa kwakipindi chote cha nyuma baada ya kuona mbona silipwi nauli baada ya kufatilia ndonikagundua Hilo tatizo nimejitahidi kumwelewesha HR anasimamia msimamo wake naona Kuna madhaifu yake anayaficha Sasa...
  7. T

    Msaada wa kisheria

    Mimi ni mfanyakazi wakati naajiriwa taarifa zangu nilijaza kwa usahihi katika mkataba wangu wa Ajira na stahiki zangu Kama likizo nilikuwa nalipwa kulingana na taarifa zilizopo katika mkataba wangu lakini baada ya miaka mitano mbele nililetewa document ambayo inaitwa "personal record form"...
  8. T

    Msaada wa kisheria kuhusu suala la mkataba

    Naomba msaada wa kisheria, kati ya mkataba wa ajira na personal data form ipi ina nguvu kisheria katika haki za mfanyakazi?
Back
Top Bottom