Anayefahamu Postgraduate Diploma kwa undani anisaidie

Habari za wakati huu waungwana.

Unafahamu nini kuhusu level hiyo ya elimu (Postgraduate Diploma)? Ina faida gani? Unafahamu lolote kuhusu hili suala? Je mtu aliesomea PgD anatambulika vipi? Katika professional yake? Doctor, engineer etc. Kuna faida zozote endapo mtu atasomea hii kitu?

Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app


Postgraduate diploma Ni kozi inayofanywa na ambaye tayari ana shahada ya awali(Bachelor degee).Huwezi kufanya postgraduate diploma Kama una stashahada(diploma) au ukitokea shule (fresh from school)

LENGO LA POSTGRADUTE DIPLOMA
Aneyesoma kozi hii Mara nyingi anakuwa na lengo lakubadilisha taaluma yake ya awali !
Angalizo,Mara nyingi lazima iliwe na kigezo cha kusoma postgraduate diploma lazima uwe na shahada inayoenda na postgradaute diploma unayoitaka Kuna baadhi haziingiliani.

Mfano:Ukiwa na Bachalor art/Education/socialogy/Pocurement /Kiswahili unaweza kusoma Postgraduate diploma in Law
Kama una bachelor of science in chemistry/ Biology unaweza kufanya postgraduate diploma in Biochemistry,Molecular Biology,Immunology/Environment

Kama umaefanya shahada ya udaktari /uuguzi /ufamasia unaweza kufanya postgraduate diploma in Human anatomy/Palliative care/Emergency medicine

Kama umefanya engineering unaweza kufanya postdgraduade diploma in Environmental Engineering Kama Ulikuwa na shahada ya civil engineering/Unaweza kufanya Mechanical Engineering Kama Ulikuwa na shahada ya Electrical Engineering.


Je!alifanya Postgraduate diploma anatambulikaje?
Yes! Anatambuliwa kwa taaluma hiyo pia ya postgraduate!

Mfano ,Mwalimu wa Historia akiafanya Poostgraduate diploma in Law ,yeye Ni mwanasheria mwenye shahada ya awali.

Dakatari aliyesoma Postgraduate in human anatomy!He is anatomist also!

Angalizo 2.Ni taaluma chache sana zenye postgraduate diploma
 
Postgraduate Diploma ipo pale kwa malengo makuu matatu, au manne!

1. Stepping Stone to Master kama ufaulu wako kwenye bachelor sio mzuri sana kukuwezesha direct master degree!
2. Ku-sharpen your bachelor degree ili kuingia kwenye field tofauti! Assume ulikuwa Mwalimu (level ya Diploma), halafu ukaenda kusoma Bachelor of Commerce (not with Education) na baada ya kumaliza bachelor yako unataka urudi kwenye kazi yako ya ualimu! Kama utata hatimae utambulike kama mwalimu mwenye bachelor basi itakiupasa ukasomee Postgraduate Diploma ya Ualimu!
3. Stepping stone to Master Degree ya field nyingine tofauti na Bachelor Degree uliyosomea!! Chukua mfano #2. Baada ya kumaliza BCom yako, unaona bora ukasome Master of Arts in Education! Hapo itakupasa usome kwanza Postgraduate Diploma! REMEMBER, #1 ni pale mtu anakosa pass mzuri lakini #3 pasi mzuri unazo lakini unataka kusoma master ya kitu kingine (but not any master)!!
4. Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili: Hii ni sana sana kwa vyuo vya nje (Hususani Ulaya na Australia)! Unaweza ku-apply Master lakini kama ufaulu wako hautoshi, wanaweza kukupa option ya kusoma Postgraduate Diploma (kama utakuwa tayari)!

NOTE: Hiyo ni kwa sie na mifumo yetu ya old school, enzi hizi sina uhakika kama bado hayo yapo!!!
 
Mfano Rahisi.

Wewe umesoma Bachelors In Biology, Chemistry, Physics. ( Yaani Kozi Zisizo na Education )

Then, baada ya kuhitimu ukagundua kozi ulizosoma ni Famba, Hivyo Unaona Ni Bora Ungesoma Ualimu Tu Ili Uajiriwe.

Cha Kufanya Ili Utambuliwe Kama Mwalimu Kitaaluma, Itakubidi Kusomea Tena POST GRADUATE DIPLOMA IN EDUCATION.
 
Mkuu myplusbee

Naomba kujua pia je mtu aliesomea Postgraduate Diploma anatambulikaje kwenye hiyo field yake.

Atatambulika sawasawa na mtu alie na Shahada? Au kunautofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
Kimsingi, hii ni kama stepping stone to Master Degree au hata to PhD! Sasa kutambulika kwake kutagemeana sana umesoma Postgraduate Diploma ya nini, na undergraduate (au Master for PhD) ulisoma nini!

Sasa kwa mfano wangu wa kwanza, kwamba una Diploma ya Ualimu, halafu ukaenda kusoma bachelor ya akaunti! Sasa kama unataka ukaendelee kufundisha na kutambulika kwamba una bachelor (sio una bachelor ya ualimu), utaenda kusoma Postgraduate Diploma ya Ualimu!!

Hata hivyo, stahiki zako kazini zinaweza kuwa sawa na mtu mwenye bachelor ya ualimu lakini haimanishi ndo tayari nawe una bachelor ya ualimu!! Utaendelelea tu kutambulika kwamba una Postgraduate Diploma ya Ualimu, na ukitaka kwenda kusoma Master ya Ualimu, utaenda kwa sababu tayari una Postgraduate ya Ualimu!!

Kwa mfano wangu #1, kwa kawaida hawa ni wale ambao wanasoma PgD ya field ile ile ya bachelor yao, lakini kwavile amekosa sifa za kusoma Master, ndipo anaitumia PgD kama Stepping stone! Sasa assume X kasoma Bachelor of Accountancy, na Y amesoma Bachelor of Accountancy, na PGD ya Accountancy! Hapo, X atatambulika kwamba ana Bachelor ya Accountancy, na Y atatambulika kwamba ana Bachelor na PgD ya Accountancy! Na hapa tukumbushane kwamba, ingawaje PgD ni stepping stone, wapo wanaoenda kusoma PgD not as a stepping stone bali ameamua au amepata hiyo chance ya kusoma PgD ingawaje kwenye bachelor amefanya vizuri na kuwa na sifa za kuingia master moja kwa moja!!! In most cases, hawa ni wale wanaotaka kuing'arisha zaidi shahada yao ya kwanza with a related course! Kwa mfano, mtu amesoma Bachelor of Business Administration; kwahiyo anaamua kwenda kusoma PgD ya Marketing au Entrepreneurship ili kuing'arisha zaidi ile bachelor yake kwa sababu anafahamu soko linawahitaji zaidi watu wa marketing/entrepreneurship!!
 
Zipo post-graduate diploma ambazo unaweza kusema kuwa masomo yake ni sawa na ya masters (level yake) kinachokosekana ni ile research component. Hivyo hizi hutumika kuongeza ujuzi zaidi na inaweza kufaa kama huna nia ya kwenda kufanya utafiti au una nia ya kuimarisha zaidi degree yako ya kwanza kwani hii ina kupa sort of sub-specialisation. Kawaida ni semester mbili tu.
 
Naomba kujua Kama nimesoma bachelor ya procurement nataka nisome PGD ya B.ADM. Je napokua na vyeti hivi viwili naweza kutumia hicho Cheri Cha PDG kucompete kuomba kazi kama kigezo ni bachelor..
 
Kimsingi, hii ni kama stepping stone to Master Degree au hata to PhD! Sasa kutambulika kwake kutagemeana sana umesoma Postgraduate Diploma ya nini, na undergraduate (au Master for PhD) ulisoma nini!

Sasa kwa mfano wangu wa kwanza, kwamba una Diploma ya Ualimu, halafu ukaenda kusoma bachelor ya akaunti! Sasa kama unataka ukaendelee kufundisha na kutambulika kwamba una bachelor (sio una bachelor ya ualimu), utaenda kusoma Postgraduate Diploma ya Ualimu!!

Hata hivyo, stahiki zako kazini zinaweza kuwa sawa na mtu mwenye bachelor ya ualimu lakini haimanishi ndo tayari nawe una bachelor ya ualimu!! Utaendelelea tu kutambulika kwamba una Postgraduate Diploma ya Ualimu, na ukitaka kwenda kusoma Master ya Ualimu, utaenda kwa sababu tayari una Postgraduate ya Ualimu!!

Kwa mfano wangu #1, kwa kawaida hawa ni wale ambao wanasoma PgD ya field ile ile ya bachelor yao, lakini kwavile amekosa sifa za kusoma Master, ndipo anaitumia PgD kama Stepping stone! Sasa assume X kasoma Bachelor of Accountancy, na Y amesoma Bachelor of Accountancy, na PGD ya Accountancy! Hapo, X atatambulika kwamba ana Bachelor ya Accountancy, na Y atatambulika kwamba ana Bachelor na PgD ya Accountancy! Na hapa tukumbushane kwamba, ingawaje PgD ni stepping stone, wapo wanaoenda kusoma PgD not as a stepping stone bali ameamua au amepata hiyo chance ya kusoma PgD ingawaje kwenye bachelor amefanya vizuri na kuwa na sifa za kuingia master moja kwa moja!!! In most cases, hawa ni wale wanaotaka kuing'arisha zaidi shahada yao ya kwanza with a related course! Kwa mfano, mtu amesoma Bachelor of Business Administration; kwahiyo anaamua kwenda kusoma PgD ya Marketing au Entrepreneurship ili kuing'arisha zaidi ile bachelor yake kwa sababu anafahamu soko linawahitaji zaidi watu wa marketing/entrepreneurship!!
Mkuu umeeleweka vzr sana

Hivi hapa Tz scholarship za Postgtaduate zinapatikana ?

Nimemaliza Bachelor ya mechanical nahitaji kusoma Postgraduate ya Port management hapo NIT
 
Mkuu umeeleweka vzr sana

Hivi hapa Tz scholarship za Postgtaduate zinapatikana ?

Nimemaliza Bachelor ya mechanical nahitaji kusoma Postgraduate ya Port management hapo NIT

Pambana na hali yako mkuu!Postgraduate zinye udhamini wa serikali ni zile tu zenye kipao mbele za afya!Zilizo baki hakuna
 
Postgraduate diploma Ni kozi inayofanywa na ambaye tayari ana shahada ya awali(Bachelor degee).Huwezi kufanya postgraduate diploma Kama una stashahada(diploma) au ukitokea shule (fresh from school)

LENGO LA POSTGRADUTE DIPLOMA
Aneyesoma kozi hii Mara nyingi anakuwa na lengo lakubadilisha taaluma yake ya awali !
Angalizo,Mara nyingi lazima iliwe na kigezo cha kusoma postgraduate diploma lazima uwe na shahada inayoenda na postgradaute diploma unayoitaka Kuna baadhi haziingiliani.

Mfano:Ukiwa na Bachalor art/Education/socialogy/Pocurement /Kiswahili unaweza kusoma Postgraduate diploma in Law
Kama una bachelor of science in chemistry/ Biology unaweza kufanya postgraduate diploma in Biochemistry,Molecular Biology,Immunology/Environment

Kama umaefanya shahada ya udaktari /uuguzi /ufamasia unaweza kufanya postgraduate diploma in Human anatomy/Palliative care/Emergency medicine

Kama umefanya engineering unaweza kufanya postdgraduade diploma in Environmental Engineering Kama Ulikuwa na shahada ya civil engineering/Unaweza kufanya Mechanical Engineering Kama Ulikuwa na shahada ya Electrical Engineering.


Je!alifanya Postgraduate diploma anatambulikaje?
Yes! Anatambuliwa kwa taaluma hiyo pia ya postgraduate!

Mfano ,Mwalimu wa Historia akiafanya Poostgraduate diploma in Law ,yeye Ni mwanasheria mwenye shahada ya awali.

Dakatari aliyesoma Postgraduate in human anatomy!He is anatomist also!

Angalizo 2.Ni taaluma chache sana zenye postgraduate diploma
Nimekuelewa kwa ufafanuzi wako mkuu.Je mtu kama aliajiriwa kwa shahada tofauti anaweza kubadilishiwa kada baada ya kuisoma hiyo kozi Postgraduate Diploma ? Mfano huyo mwenye history na akasoma law
 
Maelezo mengi wadau wametoa ila hiyo uliyoiulizia wewe ipo kwa ajili ya kukufanya ukawe mwalimu kwenye technical school au veta n.k nadhani ukipitia
Asa kwenye am aye hukusoma ualimu na unataka kuwa mwalimu,wale walimu wa kawaida basi wanataka wakafundishe technical educational ,prospectus watakuwa wameandika lengo hiyo programme wameeleza
Acha uvivu pitia prospectus huwa wanaandika kila kitu lengo na sifa ya mtu wanaemhitaji kwenye kujiunga na programme
 
Back
Top Bottom