We jiulize toka enzi ya adamu mpaka sasa kuna watu wangap walipitia km yako!?? Je walifanya maamuzi gani
Ndugu kila kinachotokea ktk mapenz ndio mapenz yenyewe we chukulia ivyo ukipendwa au ukitendwa we chukulia kawaida tuu
Ukihongwa Sana au ukichunwa Sana kawaida tuu
Yaan hakuna jipya watu...
Sa kuwatimua au kumtimua mbona km unafanya makosa,kanuni ya Kwanza ktk mahusiano Ni kustiliana so kwa maelezo yako ulikosa iko ktu ,kwa wepesi tuseme umemzalilisha ungeongea nae yy alaf ungeondoka,
Nafikil unajua ukiwa mwanaume kazi yako ya Kwanza Ni kuhakikisha family haidhaliliki so yeye kakuambia ukwel nawe hakikisha umemwambia ukwel ila km unataka tu tukupe jibu basi mjibu (ntajitaid kwa kadri ya uwezo wangu) alaf kaa nae mpange mikakati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.