Kiukweli umasikini unatesa, umasikini unaumiza, umasikini unakatisha tamaa
Huenda tukaondoa umasikini kukuondoa mifumo ya uongozi tulio achiwa na wazungu na kutafuta njia nyingine ya uongozi ambayo itakuwa inambeba kiongozi pamoja na mwananchi wake..
Mfumo uliopo yaani mfumo wa vyama vingi...
Kuna viongozi wazuri zaidi ya Samia tumuombe Mungu atuonyeshe kiongozi sahihi atakae juwa thamani ya watu wa hali ya chini na wale wenye kipato cha juu...
Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi hatuja wahi kupata kiongozi mwenye kutafakari jinsi ya kuboresha maisha ya watanzania na njia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.