Twaha Ibn Mohammed Mafiga
Member
- Oct 13, 2017
- 8
- 9
We unataka tukutumie txt tukwambie tuna laan vtendo vya kigaidi
Mkuu watu wote wanalaani mauaji yote yanayo toke kwa dhulma cyo somalia tu popote duniani watu wakidhulumiwa lilazima watu walaani na kulaani cyo mpka we upigiwe simu wewe ili ujue. Na pia ww siyo muislam nadhani ungeu muislam usinge uliza mswali yako ya hovyo kama haya.Mimi nina swali dogo tu, mbona sijaona waislamu wa Tanzania na Africa kwa ujumla wakilaani haya mashambulio kwa watu weusi waislamu wenzao huko Somalia ila hupaza shingo na sauti kuhusu yanayotokea Palestina na Burma. Mbona waislamu wa africa ni wanafiki sana mnasikitisha sana. Humu sijaona uzi kuhusu huzuni za Somalia ila za Palestina na wale wa Burma.
Mimi nina swali dogo tu, mbona sijaona waislamu wa Tanzania na Africa kwa ujumla wakilaani haya mashambulio kwa watu weusi waislamu wenzao huko Somalia ila hupaza shingo na sauti kuhusu yanayotokea Palestina na Burma. Mbona waislamu wa africa ni wanafiki sana mnasikitisha sana. Humu sijaona uzi kuhusu huzuni za Somalia ila za Palestina na wale wa Burma.
HOJAN YAKO ZURI ILA HIZO NI KESI MBILI TOFAUTI TUKIO LA SOMALIA NI LA KIGAIDI LINALOFANYWA KWA USIRI NA WATU FULANI WANAOIPINGA SERIKALI. BURMA NI UGAIDI PIA UNAOFANYWA NA SERIKALI DHIDI YA WAROHING'YA NA HUKO PALESTINA UGAIDI HUOHUO UNAFANYWA NA SERIKALI YA KIYAHUDI(ZEONISM) DHIDI YA WAPALESTINA.Mimi nina swali dogo tu, mbona sijaona waislamu wa Tanzania na Africa kwa ujumla wakilaani haya mashambulio kwa watu weusi waislamu wenzao huko Somalia ila hupaza shingo na sauti kuhusu yanayotokea Palestina na Burma. Mbona waislamu wa africa ni wanafiki sana mnasikitisha sana. Humu sijaona uzi kuhusu huzuni za Somalia ila za Palestina na wale wa Burma.
HawajitangaziNazungumzia wa Africa... mwafrika amchangie mwenzake Hilo jambo ni lakusadikika kwakweli
Wewe unaeelewa halafu wengine wasielewe ina maana una akili nyingi kuliko wenzako???.Sasa jambo usilolijua utalijuaje?
Hayo yanazungumzwa ktk shura
Ktk uislam ria kujioneSha onesha ni ktk shirki
Na huwez nielewa pia
Hahahah Mkristo Somalia kuna mmoja alijaribu kumfuata bwana wake Mkristo na kuamua kubadili dini hakuna rangi aliacha kuona{nadhani sasa anaishi marekani}...kama sio UN na America kupiga kelele saizi angekuwa ameshasahaulika,zilikaa mahakama zikaamua alowekwe udongoni kibaki kichwa kipondwe mawe.nadhan kwa muujiza ule familia yake yote waliihama hiyo nchi na dini pia.islam siyo dini ya mchezo mchezo kwanza ni wabaguzi wanabagua hadi watu waliokufa kama jana nilisoma humu kwamba mwili wa Ndikumana Hamad ulienda kuwekwa mortuary ya kiislam kwa7bu dini yao sijui hairuhusu!Kwani Somalia wanakaa wa Islam peke Yao. Au wanaokufa ni wa Islam peke Yao? Hakuna wakristo Somalia?
Vile vile mngelaani,na vitendo,wanavyofanyiwa Dada zetu,wanaoenda uarabuni,kufanya kazi za ndani,tunalaani vitendo vya kigaidi (ukhawarij) tunaliongea hilo kila siku au ulitaka mpaka tuweke press conference ...uislam ni dini yenye kumvuta aliye nje aingie ndani na kumfanya aliye ndani asitoke