Recent content by Tuyambe

  1. T

    Mwenye ufahamu kuhusu mtihani wa R.P.L wa NACTE naomba anielekeze

    Poa naomba unifamishe japo nimekosea kuandika sorry unaufahamu juu ya hill suala kaka?
  2. T

    Mwenye ufahamu kuhusu mtihani wa R.P.L wa NACTE naomba anielekeze

    Mwenye kufahamu kuhusu ule mtihani wanaoutoa NACTE unaoitwa R.P.L unatolewa au ulifutwa ? Mwenye kufahamu juu ya hili
  3. T

    Unamshauri nini Mhitimu na mwanafuzi wa shahada ya ualimu wa sanaa

    Mimi nawashauri wahamie kozi nyingine ambazo wanaweza kujiajili
  4. T

    Hapa GPA za 2.9 watachaguliwa tu

    Duh ngoja tusubili
  5. T

    Wana jamvi anaejua kuhusu RPL (recognition of prior learning)

    Asaidiwe hata mimi natamani kujua jaman mwenyeufahamu kuhusu hiikitu
  6. T

    TCU: Maombi ya kusoma "Degree" vyuo kikuu kufanyika Direct katika Vyuo husika

    Minaona TCU wawaachie walioko kazini mwenye diploma za 2.9 gpa wajiendeleze maana hakuna wanacho kwepa Hapo
  7. T

    Hapa GPA za 2.9 watachaguliwa tu

    Kweli japo nahisi baadhi yavyuo vitakosa ujazo mzuri wa wanafunzi nafkiri TCU walekebishe nafkiri 2.9 ingefaa kidogo ,ushauri wangu waombe tu labda wanaweza kukaachini
  8. T

    Hapa GPA za 2.9 watachaguliwa tu

    Samahani kwa usumbufu wadau kwa hili la tamko la TCU mimi naona wale diploma wenye GPA ya 2.9 waombe tu vyuoni. Nadhani watapata nafasi maana vyuo vitakosa wanafunzi. Au wewe mdau unaonaje...
Back
Top Bottom