Recent content by tuvako wa ukwee

  1. T

    Mdahalo ni lazima sio hiari

    Mwaka 2010 kwa nini hukumpa ushauri huu Kikwete? Mbona Kikwete ALIPOKIMBIA mdahalo na Dr Slaa hukutokwa POVU hivi?
  2. T

    Ukitongoza mwanamke mrembo usithubutu kumwambia unafanya kazi hizi, atakukataa mchana kweupe

    Na sisi ma lecturer tunaofundisha chuo kikuu unatuweka kundi gani? Tunang'oa mtoto au hatung'oi?
  3. T

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    Hao wananchi ni wapi hao? Utakuwa unamaanisha wananchi wa Mtaa wa Lumumba labda
  4. T

    Mjapan wangu anauza milion 6

    Hata mimi Nina mashaka
  5. T

    campaign manager (Lemutuz) asema ushindi mapema

    Msomi Na Mfanyabiashara mkubwa jijiji Dar Es Salaam. Hahahaha... Nimependa hiyo statement tu. Naona Unampaka Le Baharia Chupa kwa mgongo wa Mafuta
  6. T

    Nahitaji kumuoa ila nime disco chuo

    Sasa kudisco kunazuia nini kuoa! Au huna hela
  7. T

    YA NARC NA MWAI KIBAKI...Je UKAWA/LOWASA wana la Kujifunza??

    Well said and Well constructed Piece of Advice. The BEST ADVICE Ukawa can ever get
  8. T

    Maandalizi ya mkutano wa UKAWA/CHADEMA uwanja wa Jangwani

    Nini kinaendelea hapo Uwanjani kwa sasa?
  9. T

    Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Mkuu nimekusoma... Nashukuru sana
  10. T

    Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Mkuu, Huyo jamaa yako wa Mbeya, hiyo Elfu 50 ni FAIDA au ni makusanyo ya jumla?
  11. T

    Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Wakuu, kwa makadirio kwa siku hii business inaweza kuingiza sh ngapi kwa mfano? I'm curious to know that.
Back
Top Bottom