Recent content by Tuts

  1. T

    Rais Samia: Mishahara ya wafanyakazi wa CCM imepanda kwa 84% kwa watumishi wa chini na 25% kwa wale wa juu. TOT nao mishahara juu

    Hujaelewa nini sasa! Ameongeza kwa watumishi/viongozi wa Chama Chetu cha Mapinduzi. KAZI IENDELEEEEE!
  2. T

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kwa lugha na jazba uliyotumia kumjibu, mi nkajua we ndo ule mchepuko wake aloushona makofi. 😂😂😂😂.
  3. T

    Zitto Kabwe acha kutumika

    Muombe kwanza msamaha Zitto kama kweli wewe una busara! Mnatukana sana Zitto, halafu yeye yuko kimya. Pamoja na ukimya wake nyie kila kukicha ni kumchafua Zitto! Halafu watu Wa Kigoma kila kukicha ni kuwashutum kubusu asili yao! Mbona hajadili asili zenu, vipi asili ya Watz wengine wa mipakani...
  4. T

    Zitto Kabwe acha kutumika

    Nyie Chadema mna matatizo, chama chenu aliwaachia, sasa mnatafuta tu mpaka nje ya chama chenu! Kwani wewe nani asiyejua kua asili yako ni TIGONI.😙😙😙😙.
  5. T

    Kumbe Ndugai ndio kiongozi wa hili kundi mtandaoni

    🤣🤣🤣🤣 Tundul anyooshe akina nani?! Hakika unachekesha! 🤣🤣🤣! Kauli mbiu ni moja tu "KAZI IENDELEE". Tundul yeye aje tu ili KAZI IENDELEEEE kwake maana ilibaki kiporo! ""KAZI INDELEEEEE""
  6. T

    Nashindwa kumsamehe Magufuli kwa hili

    Hiyo ni kanuni ya kiutawala mjomba! Hata kwenye Bible imedhihirika nini anapaswa kufanyiwa apingaye mtawala. Hata Mungu alimshusha kuzim malaika muasi Shetani baada ya kutaka kujaribu kumpinga Mungu! Hata wewe ukipata nafasi ya kua Mtawala lazima baadhi ya wanaokupinga bila adabu lazima...
  7. T

    Yuko wapi Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango?

    Bila shaka we utakua mjinga kweli! Unawezaje kutofautishaje Wazanaki na Waha Kihistoria!!? Wote hao asili yao ni Rwanda na Burundi. Au historia ya Wazanaki huijui. Hujui tu neno "Wazanaki" ni neno la Kirundi likimaanisha "umekuja na nini". Warundi walikuwa wakihamia Tz wanaulizana kwamba...
  8. T

    Dkt. Mpango: Nilipoachiwa nchi niliogopa lakini nashukuru Rais umerudi na nchi ni salama kabisa

    Vp mbona mapema yote hii! Unataka nikusimike cha asubuhi! Hata nyuki nakulaga shekh, sema, unataka? Uko Zenji?
  9. T

    Dkt. Mpango: Nilipoachiwa nchi niliogopa lakini nashukuru Rais umerudi na nchi ni salama kabisa

    Wanao comment wote humu kusema eti Mpango ni dhaifu, hawana AKILI timam! Ni WAJINGA wa Dunia nzima wasiojua hekima za Uongozi. Lakin pia nadhan wanaosema Dr. Mpango ameonesha Udhaifu kwa kauli yake, wanatumia viongo vya kati kufikiri. Dr. Mpango alipokua akitamka kauli nzito kuhusu nchi...
  10. T

    Bado Mama Samia hajaingia kwenye 18 zangu

    Mtawala lazima kuna wakati unapaswa kucheza rafu, tena ya kuvunja mguu kabisa kiasi cha kutorudi mchezoni tena. Hii ilikuwepo tangu enzi na enzi, vitabu takatifu vimetueleza, watawala kuna wakati wanalazimika kufuta mtu duniani kwa maslahi ya watawaliwa. Mpinzani anajua kupinga tu, hata jema...
  11. T

    Bado Mama Samia hajaingia kwenye 18 zangu

    Mtawala lazima kuna wakati unapaswa kucheza rafu, tena ya kuvunja mguu kabisa kiasi cha kutorudi mchezoni tena. Hii ilikuwepo tangu enzi na enzi, vitabu takatifu vimetueleza, watawala kuna wakati wanalazimika kufuta mtu duniani kwa maslahi ya watawaliwa. Mpinzani anajua kupinga tu, hata jema...
  12. T

    Chain Of Command: Dkt. Mpango hajui mipaka yake

    Na ndio wasiwasi wenu kwamba huenda akawa Rais baadae ndio maana muda wote mnahangaika kumchafua. Tulieni.
  13. T

    Chain Of Command: Dkt. Mpango hajui mipaka yake

    Nyie walimbwende, warembo, Wala vyepe daily, midebwedo wa pwani na Kaskazini kwa Mboowe mtakoma na wivu wenu kwa watu wa Kigoma. Kigoma ni kazi tu. Mkipenda hata wake zenu wape Waha wawafanyie kazi yenye weledi wa hali ya juu na iliyotukuka. Upo hapo mrembo. Hapa kazi tu. Mwanaume kazi tu...
Back
Top Bottom