Muombe kwanza msamaha Zitto kama kweli wewe una busara! Mnatukana sana Zitto, halafu yeye yuko kimya. Pamoja na ukimya wake nyie kila kukicha ni kumchafua Zitto!
Halafu watu Wa Kigoma kila kukicha ni kuwashutum kubusu asili yao! Mbona hajadili asili zenu, vipi asili ya Watz wengine wa mipakani...
🤣🤣🤣🤣 Tundul anyooshe akina nani?!
Hakika unachekesha! 🤣🤣🤣!
Kauli mbiu ni moja tu "KAZI IENDELEE".
Tundul yeye aje tu ili KAZI IENDELEEEE kwake maana ilibaki kiporo!
""KAZI INDELEEEEE""
Hiyo ni kanuni ya kiutawala mjomba!
Hata kwenye Bible imedhihirika nini anapaswa kufanyiwa apingaye mtawala.
Hata Mungu alimshusha kuzim malaika muasi Shetani baada ya kutaka kujaribu kumpinga Mungu!
Hata wewe ukipata nafasi ya kua Mtawala lazima baadhi ya wanaokupinga bila adabu lazima...
Bila shaka we utakua mjinga kweli! Unawezaje kutofautishaje Wazanaki na Waha Kihistoria!!?
Wote hao asili yao ni Rwanda na Burundi.
Au historia ya Wazanaki huijui. Hujui tu neno "Wazanaki" ni neno la Kirundi likimaanisha "umekuja na nini". Warundi walikuwa wakihamia Tz wanaulizana kwamba...
Wanao comment wote humu kusema eti Mpango ni dhaifu, hawana AKILI timam! Ni WAJINGA wa Dunia nzima wasiojua hekima za Uongozi.
Lakin pia nadhan wanaosema Dr. Mpango ameonesha Udhaifu kwa kauli yake, wanatumia viongo vya kati kufikiri.
Dr. Mpango alipokua akitamka kauli nzito kuhusu nchi...
Mtawala lazima kuna wakati unapaswa kucheza rafu, tena ya kuvunja mguu kabisa kiasi cha kutorudi mchezoni tena. Hii ilikuwepo tangu enzi na enzi, vitabu takatifu vimetueleza, watawala kuna wakati wanalazimika kufuta mtu duniani kwa maslahi ya watawaliwa.
Mpinzani anajua kupinga tu, hata jema...
Mtawala lazima kuna wakati unapaswa kucheza rafu, tena ya kuvunja mguu kabisa kiasi cha kutorudi mchezoni tena. Hii ilikuwepo tangu enzi na enzi, vitabu takatifu vimetueleza, watawala kuna wakati wanalazimika kufuta mtu duniani kwa maslahi ya watawaliwa.
Mpinzani anajua kupinga tu, hata jema...
Nyie walimbwende, warembo, Wala vyepe daily, midebwedo wa pwani na Kaskazini kwa Mboowe mtakoma na wivu wenu kwa watu wa Kigoma. Kigoma ni kazi tu. Mkipenda hata wake zenu wape Waha wawafanyie kazi yenye weledi wa hali ya juu na iliyotukuka.
Upo hapo mrembo.
Hapa kazi tu.
Mwanaume kazi tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.