Recent content by Tusechi

  1. T

    Kigoma - Mchumba (mke tarajali)

    Kigoma na maeneo ya jirani tumefikiwa... Bwana amepatikana. Tuchangamke PM wanawake single wa maeneo hayo wa makabila yaliyotajwa hapa.
  2. T

    Nataka mke aliye serious wakuoa mimi ni mtumishi wa private sector nipo wilaya za Dodoma njoo inbox mchumba

    Kumbe kuna hawa wajane wanaoingia kwenye ndoa kwa kuhurumiwa ha haa haa. Basi sawa. Bora hao wengine wapishane na ndoa hizi za kuhurumiwa. Poa. Bye.
  3. T

    Nataka mke aliye serious wakuoa mimi ni mtumishi wa private sector nipo wilaya za Dodoma njoo inbox mchumba

    Kwani wewe sio single father jamani? Kulikoni unawatenga single mothers? Kuwa na heshima na wamama. Hebu chana nao bana. Kuzaa ni baraka.
  4. T

    Waumini wa Kilutheri naombeni mnisaidie kujibu maswali haya muhimu sana

    Tunaishi kwenye jamii ya ajabu sana. Watu wanaona uharibifu na kuuacha uendelee kisa tu haujawafiki malango mwao. Wanausikia tu kwa wengine. Hawa mabinti walioambukizwa wangekuwa wanatoka kwenye familia zao wangepaza sauti kukemea uovu huu. Badala ya kuongeza nguvu sasa kukemea tabia hizi ili...
  5. T

    Waumini wa Kilutheri naombeni mnisaidie kujibu maswali haya muhimu sana

    Hii ya kutumia nafasi za kikuhani kufanya uharibifu kwa waumini badala ya kuwajenga kiimani ni mbaya sana. Kibaya zaidi mambo ya hawa mbwa mwitu waliovaa ngozi za kondoo yakiwekwa wazi inaonekana wanapakwa matope eti wanasingiziwa. Labda nyie wenzetu hamjawahi kuyapatwa na mabaya yao. Sawa mna...
  6. T

    Waumini wa Kilutheri naombeni mnisaidie kujibu maswali haya muhimu sana

    Umelipambania na kulitetea kikwelikweli jina(Image) ya kanisa lako as if lenyewe kama lenyewe takatifu. Kanisa/Dini ni organisation sio mtu. Ni jina tu. Haliokoki. Waliopo ndani yake ndo wanafanya liwe safi au najisi kwa matendo yao. Kama jina hata halina utakatifu wowote acha liongelewe...
  7. T

    Computer4Sale HP LAPTOP FOR SALE

    Germanium, kindly check your PM. Thank you.
  8. T

    Hivi unaanzaje kuoa mwanamke aliyezaa?

    Hao mnaowazalisha mnataka waolewe na nani? Wapeni heshima zao bana. Mlivyoshindwana nao nyie sio kila mwanaume duniani atashindwana nao. Wamewazalia watoto, ni baraka. Msiwafanye wawe wamelaaniwa kwa kuzaa na nyie. Wengi mnaoongea hivi mmezalisha wanawake kibao. Kuweni na upeo wa kiutu uzima...
  9. T

    Kuwa makini na maoni ya wajumbe JF, changanya na zako

    Nimeiga nini mimi humu jamani?
  10. T

    Wahubiri wangu wa mfano Tanzania

    Tusaidie na majina yao tuwatambue kama walivyoandikwa hapa. Usiishie kuandika %. Hivi hutusaidii tunaofuatilia Kutaka kujua tofauti yao: real&fake.
  11. T

    Ukitaka kumchunguza mwanaume

    Hii nimeielewa Comrade Liu Yang. Kwamba mashaka ni ishara ya upendo kutokuwepo.
  12. T

    Kurudi Nyumbani kwaajili ya biashara

    Ha ha haaa...Wewe wasema. Sawa. Acha niishie hapa kwa leo kabla wadau hawajaomba picha.
  13. T

    Kurudi Nyumbani kwaajili ya biashara

    Nina wowowo gani mimi? Usidanganye watu Restless Hustler
  14. T

    Natafuta mke wa ndoa

    Age is just a number bro...
Back
Top Bottom