Recent content by tuqdollie

  1. tuqdollie

    Kwa waliowahi kutumia aliexpress

    Nimenununa bidhaa kutoka aliexpress na nikiangalia tracking information zinasema mizigo ishafika Dar . Je ntaipataje au ntapigiwa simu? Nlitumiwa kupitia china post
  2. tuqdollie

    mkopo kwa mwaka wa pili

    Majina yanapelekwa kwa loan officer wa chuoni kwako
  3. tuqdollie

    Je,nani wanastahili mikopo

    Io ata kwenye guideline zao wameandika
  4. tuqdollie

    Mungu awe nanyi vigogo wa HESLB

    Majina ya waliopata mkopo kwa wanafunzi wanaondelea namaanisha mwaka wa pili na watatu bado hayajatoka kwa vyuo vyote .kwahiyo uwasiliane na loan officer wa hapo udom ili ujue hayo majina yakiwasili chuoni kwako
  5. tuqdollie

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    Kwa continuing students vipi jamani, kuna aliepata?
  6. tuqdollie

    Mzumbe University: Waliochaguliwa Shahada ya Kwanza 2015/2016 tukutane hapa

    Za wakaka mostly ni wawili na moja wanakaa sita .....za wadada kuna za wawili na za wanne
  7. tuqdollie

    Mzumbe University: Waliochaguliwa Shahada ya Kwanza 2015/2016 tukutane hapa

    Kama hauna bima unalipa elfu 30 na kana hauna unalipa elfu 75 ivo ndo tunavolipa
  8. tuqdollie

    Waliopata mkopo HESLB, Chuo Kikuu Mzumbe 2014/15

    unalipa 30000 i mean ya medico
  9. tuqdollie

    Kwa waliokosa mkopo

    mara nyingi wa dploma hawawapagi wanaamini wameeza jilipia two years wataeza three years .... na ata hao form six wamekosa wengi mnoooo
Back
Top Bottom