M MDOE jr Member Nov 21, 2015 28 0 Dec 8, 2015 #1 jamani kwa wale mwaka wa pili na watatu ndo tumechinjiwa baharini au zamu yetu bado.......?
tuqdollie Member Sep 24, 2014 12 0 Dec 8, 2015 #2 Majina yanapelekwa kwa loan officer wa chuoni kwako
Mzee Mchopu JF-Expert Member Sep 24, 2014 1,031 268 Dec 8, 2015 #3 tuqdollie said: Majina yanapelekwa kwa loan officer wa chuoni kwako Click to expand... Yanapelekwa lini Mi nna ndugu yangu Hana mama wala baba mpka sasa hajui hatma yake yupo mzumbe mbeya
tuqdollie said: Majina yanapelekwa kwa loan officer wa chuoni kwako Click to expand... Yanapelekwa lini Mi nna ndugu yangu Hana mama wala baba mpka sasa hajui hatma yake yupo mzumbe mbeya
kapongoliso JF-Expert Member Jul 16, 2011 1,353 487 Dec 8, 2015 #5 Hapa kazi tu, mmeanza kuisoma namba