Recent content by Tupendane

  1. T

    DECI ni aina ya UPATU na haya mashindano ya Kampuni za Simu ya kushindania magari je?

    Kuna njia nyingi ambazo wajanja wanaweza kuzitumia kupata fedha lakini ili uwe salama inabidi njia utakayoitumia inabidi isiwe ya wazi sana. Ni muhimu uwe makini kama KAGODA Agricultural Ltd. Si mnajua hawa jamaa hadi sasa DPP hajaweza kupata ushahidi wa kutosha kuwapeleka kizimbani! Hawa DECI...
  2. T

    Two Medical Doctors Drown in Sanje Water Falls

    Kuna madaktari wawili walizama katika bwawa lililopo katika maporomoko ya maji pale Sanje Water falls- Kilombero siku ya Jumamosi (April 11th, 2009). Madaktari hao ni walimu katika chuo cha Tanzania Training Centre for International Health (TTCIH) kilichopo Ifakara. Madaktari hao (marehemu Dr...
  3. T

    Kenya Vs Uganda:The Migingo Island Controversy.

    Japokuwa kuna manufaa ya kuingia kwenye shirikisho lakini gharama yake inaweza kuwa kubwa zaidi kwetu (waTz) kuliko hawa jirani zetu. Nchi kama Rwanda ambayo mambo ya ubinafsi yanachangia kuinyima amani DRC eti nayo ni member wa EA. Wakati waziri wa Kenya alipoanza kuleta chokochoko za ujenzi wa...
Back
Top Bottom