Wakuu naombeni mnisaidie hv watu wa IT especially system analysts katika office za mkoa na wilaya (serikalini) wanafanya kazi gani hasa .....maana nimepata mkoa mmoja sasa naomben mnaofanya kazi huko au ambao mna watu wanaofanya huko mnipe overview...nashukuruni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.